Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Kitimoto ina madhara, bado hatusikii

Speed kills, bado watu hatusikii

Ukimwi unaua, bado condom hazitumiki

Sigara inaua, bado hatuachi

Red meat ni hatari, hatuachi

Pombe ina madhara, hatuachi

Kuku wa kisasa nao pia wanamadhara

Chai/Kahawa zina madhara, ....

Anyway jiulize ni kipi kisicho na madhara?? Jibu ni HAKUNA!!!

ChochOte kinachopitia ktk machine ili kitumike kina madhara pia maana mf machine ya kusaga/kukoboa huwa baada ya muda zile chekecheo au gears zinakwisha na zinabadilishwa...
Swali: vile vyuma huwa vinaenda wapi?

Mf mwingine:
Maji ya azam au kilimanjaro yanapitia ktk machine na baada ya muda machine kwa maana ya vyuma vyake vina kwisha pia....je, vinakwenda wapi?

Kwa kukuhakishieni kuwa haya majanga hayakwepeki ni pale unakapo fikia 55+yrs ndo mara bp, canser, figo, ini, kisukari, etc na ukingalia ndo magonjwa ambayo wazee wote wanakufa nayo. Cha msingi ni kupunga hii risk ila kwa ujumla wakw HAIKWEPEKI!

THE MORE YOU LEARN THE MORE YOU....
 
Whatever you eat make sure that you stay health. Huyu mdudu akipikwa vizuri yuo salama. Chezeya wewe Sitoacha Ng'o kula HOT chair

Haya hapa ni baadhi ya madhara ya PORK - Nyama ya nguruwe

Trichinosis – from Encarta Encyclopaedia

Pronounced As: trikinosis or trichiniasis trikinisis, parasitic disease caused by the roundwormTrichinella spiralis. It follows the eating of raw or inadequately cooked meat, especially pork. The larvae are released, reach maturity, and mate in the intestines, the females producing live larvae. The parasites are then carried from the gastrointestinal tract by the bloodstream to various muscles, where they become encysted. It is estimated that 10% to 20% of the adult population of the United States suffers from trichinosis at some time. In many people the disease exhibits no symptoms and is discovered only at autopsy. In others it causes diarrhea and other gastrointestinal symptoms as the worms multiply in the digestive tract. When the larvae circulate through the bloodstream, the patient experiences edema, irregular fever, profuse sweating, muscle soreness and pain, and prostration. There may be involvement of the central nervous system, heart, and lungs; death occurs in about 5% of clinical cases. Once the larvae have imbedded themselves in the muscle tissue, the cysts usually become calcified; however, the infestation usually causes no further symptoms except fatigue and vague muscular pains. There is no specific treatment.
Bad Effects of Pork Consumption
Pig's bodies contain many toxins, worms and latent diseases. Although some of these infestations are harbored in other animals, modern veterinarians say that pigs are far more predisposed to these illnesses than other animals. This could be because pigs like to scavenge and will eat any kind of food, including dead insects, worms, rotting carcasses, excreta (including their own), garbage, and other pigs.
Influenza (flu) is one of the most famous illnesses which pigs share with humans. This illness is harbored in the lungs of pigs during the summer months and tends to affect pigs and humans in the cooler months. Sausage contains bits of pigs' lungs, so those who eat pork sausage tend to suffer more during epidemics of influenza.
Pig meat contains excessive quantities of histamine and imidazole compounds, which can lead to itching and inflammation; growth hormone, which promotes inflammation and growth; sulfur-containing mesenchymal mucus, which leads to swelling and deposits of mucus in tendons and cartilage, resulting in arthritis, rheumatism, etc. Sulfur helps cause firm human tendons and ligaments to be replaced by the pig's soft mesenchymal tissues, and degeneration of human cartilage.
Eating pork can also lead to gallstones and obesity, probably due to its high cholesterol and saturated fat content. The pig is the main carrier of the taenia solium worm, which is found it its flesh. These tapeworms are found in human intestines with greater frequency in nations where pigs are eaten. This type of tapeworm can pass through the intestines and affect many other organs, and is incurable once it reaches beyond a certain stage.
One in six people in the US and Canada has trichinosis from eating trichina worms, which are found in pork. Many people have no symptoms to warn them of this, and when they do, they resemble symptoms of many other illnesses. These worms are not noticed during meat inspections, nor does salting or smoking kill them. Few people cook the meat long enough to kill the trichinae. The rat (another scavenger) also harbors this disease. There are dozens of other worms, germs, diseases and bacteria which are commonly found in pigs, many of which are specific to the pig, or found in greater frequency in pigs.
Pigs are biologically similar to humans, and their meat is said to taste similar to human flesh. Pigs have been used for dissection in biology labs due to the similarity between their organs and human organs. People with insulin-dependent diabetes usually inject themselves with pig insulin. If you pour Coke (yes, the soda) on a slab of pork, and wait a little while, you will see worms crawl out of it.
Medical and Scientific Reasons for not Eating Pork
This is a direct quote from "What the Bible Says About Healthy Eating" by Dr. Rex Russell. He attended Baylor School of Medicine in Houston, Texas and did his residency at the Mayo Clinic at Rochester, Minnesota.
"One reason for God's rule forbidding pork is that the digestive system of a pig is completely different from that of a cow. It is similar to ours, in that the stomach is very acidic. Pigs are gluttonous, never knowing when to stop eating. Their stomach acids become diluted because of the volume of food, allowing all kinds of vermin to pass through this protective barrier. Parasites, bacteria, viruses, and toxins can pass into the pigs flesh because of overeating. These toxins and infectious agents can be passed on to humans when they eat a pig’s flesh.
In the "Biblical Archeological Review", Jane Cahill examined the toilets of a Jewish household in Jerusalem, finding no parasites or infectious agents, but only pollen from the many fruits, vegetables, and herbs they had eaten. A similar study done about Egyptians revealed eggs from Schistosoma, Trichinella, wire worm and tapeworms, all found in pork. All of these organisms cause significant chronic diseases. [ this is footnoted Jane Cahill and Peter Warnock, "It had to happen, Scientist Examines Ancient Bathrooms of Romans 586B.C." BAR May/June 1991]
In what is probably a strong illustration of the perils of pork, at one time no cases of trichinosis had been reported in the country of Bolivia for several years. [this is footnoted from "Veterinary Parasitology" May 1993] However, 25% of pigs tested were infested with trichinosis. People working on these farms and the population eating the pigs were also found to be positive for infestation with this parasite. The primary symptoms of this infection include muscle pain, headaches, fever and swelling in the extremities.[foot noted Baker, Bryant, Urban, and Lumney, "Swine Immunity to Selected Parasites", "Veterinary Immunology and Immunopathology" October 1994] These are all nonspecific symptoms that do not necessarily indicate any one disease. Although this may explain why the trichinosis had not been diagnosed in Bolivia for several years, it is strong circumstantial evidence that many people became ill because of pork.
Dr. W.J. Zimmerman reviewed the diaphragm muscle from multiple autopsies done in the U.S. in the late 1960"s, and reported that trichinosis was not an unusual finding. [footnoted Zimmerman, Steele, And Kagan, "Trichiniases in the U.S. Population, 1966-70: Prevalence and Epidemiologic Factors", Health Services Reports 88:7 Aug/Sept 1973] It is well accepted that illnesses caused by parasites have a significant economic effect worldwide.
In the U.S., three of the six most common food-borne parasitic diseases of humans are associated with pork consumption. These include toxoplasmosis, taeniases or cysticercosis [caused by the pork tapeworm Taenia solium] and trichinellosis.
In Japan, the source of these infections was traced to the flesh of pigs, bears, horses, racoons and foxes. All of these animals are listed in Scripture as putrid or unclean.
Swine are also good incubators of toxic parasites and viruses- although the animal doesn't appear to be ill while carrying these diseases. A scientist at the University of Giessen's Institute for Virology in Germany showed in a study of worldwide influenza epidemics that pigs are the one animal that can serve as a mixing vessel for new influenza viruses that may seriously threaten world health.
If a pig is exposed to a human's DNA virus and then a bird's virus, the pig mixes the two viruses - developing a new DNA virus that is often extremely lethal for humans. These viruses have already caused worldwide epidemics and destruction. Virologists have concluded that if we do not find a way to separate humans from pigs, the whole earth's population may be at risk. [footnoted Scholtissek,M.D., "Cultivating a Killer Virus" National History Jan. 1992]
The 1942 Yearbook of Agriculture reported that 50 diseases were found in pigs, and many of these were passed on to humans by eating the pig's flesh.
Additionally, just the handling of swine has an element of risk. A large hog-raising facility in the area where I live wisely requires its employees to wear gloves, masks and protective clothing while working in the pig barns. The workers are required to shower each day before going home.
Little wonder that GOD would inspire His prophet to include eating pork among the disobedient acts of stubborn people in addition to idolatry and conjuring spirits of the dead, "a people who continually provoke Me to My face,...who eat the flesh of pigs, and whose pots hold broth of unclean meat" [Isa. 65:3,4]"
"JUST SAY NO TO SWINES’ FLESH"
by Jim Bramlett
(Our note: This gentleman is not a Messianic believer and therefore most likely doesn't understand the spiritual, as well as physical concepts, of following the Kosher laws, but nevertheless this is an interesting article. We believe he may be avoiding pork, right now, mainly out of fear, but that doesn't mean that G-d isn't bringing him to a fuller understanding at a later point. After all you have to start somewhere!)
Dear friends:
(This will make you think!)
On March 15, 2000 I posted a news item saying that "cloned pigs could provide organs for transplants into humans on the NHS within six years, it emerged yesterday.." I commented: "If pigs were an abomination in the ancient Jewish temple, how much more will they be an abomination being made a part of G-d's New covenant temple--our bodies! six years away? For this and many other reasons, I suspect G-d will pull down the curtain before then and say, 'No more.'"
Combining swine flesh with human flesh will not just be a spiritual abomination, there are also extreme concerns physically, no doubt why G-d did not (DOES NOT) allow eating of swine. I used to think that G-d had this restriction about pigs, only to protect those poor, primitive Israelites, from the deadly trichinella worms found in swine. But we modern, sophisticated humans are so smart that we do not have this problem. Yeah, right!
Not true, according to Dr. Gordon S. Tessler, in his excellent book, "The Genesis Diet," He says:
"Obviously, the indiscriminate eating patterns of omnivores like pigs, make them disease carriers. Pigs are known to carry up to 200 diseases and 18 different parasites and worms, including the deadly worm called trichinella spiralis. This worm is commonly called trichinosis and there is no known cure for these spiral worms. The trichinae worms are so small and transparent that only trained inspectors using high-powered microscopes can detect their existence. Trichinosis can cripple or even kill anyone that eats as little as a forkful of contaminated food! Trichinosis can mimic other diseases such as arthritis, rheumatism, or typhoid fever. (NOTE: On his video, Dr. Tessler says that even cooking does not kill the trichinae worm!)
"Pigs have more incidences of arthritis than any other known animals in the world. Arthritis may be a virus or a parasite that is transmitted from pigs to humans as a direct result of eating the flesh and blood of hogs and pigs. Perhaps many other diseases are misdiagnosed and their real cause is roundworms, gullet worms, hookworms, thorn-headed worms, trichina worms, stomach worms, nodular worms, tapeworms, as well as many other parasites found in the flesh of the unclean swine. A person may be committing slow suicide when he or she eats bacon, ham, sausage, or pork chops.
"Even hog farmers who insist that corn fed hogs are safe won't give you a guarantee that their indoor hogs haven't eaten any rats, mice, fecal waste, or maggots within the past few days. The metal doorknobs in pig nurseries, become corroded after a year or so, due to the gases produced by the pigs urine and feces.
 
One more thing,, Hofstede, hakuna animal parasite anashindwa kufa kwenye 100 centgrade!. Biochemically huyo parasite ataitwa thermophile. Mnyama anayeliwa na binadamu hawezi ku-withstand temperature above 55 Celcius for a long time (two hours kama hakuna kiyoyozi au like). Likewise, huyo parasite atahitaji temp ya 100celcius ya kufanyia nini na wakati gani?! Ni adaptative radiation......

Si kila article iliyoandikwa iko right ndugu. ABC ni news agent,,,,sawa na majira au Mwananchi ambapo waandishi huwa wanatumbukiza chochote. Huwa wako right sometimes,,,,, lakini wanaongezea mbwembwe nje ya science. Muhimu kama hujui kuuliza kwanza na si kubadika tu issue hapa. JF kuna wataalamu zaidi ya hizo articles. Lakini kila mmoja yuko right inategemeana na wakati na mazingira yayozunguka.............

Point ni ile ile: kula kitu yoyote iliyopikwa vema na imewekwa sehemu safi. Si kiti moto tu.

Halafu ukisoma iyo makala ya Washington times unaona kua neurocysticercosis inatokana na fecal-oral transmission, proper hygiene inahusika sana na sio kula nyama tu
 
Kitimoto ni noma, yani wataumba kila jambo ili wapunguze utamu, ila mi hamuuuuu ndio imezidi.
 
Ni kweli nyama zote zina madhara kiafya kama zisipo tengenezwa vizuri. Hivyo ni juu ya mlaji kuhakikisha kuwa anafuata kanuni. Ambacho sikubaliani nacho ni kuona kama nguruwe haifaii kabisa, na kutafuta utaalamu na sababu za kuungaunga kwenye mitandao na source nyingine zisizotegemeka. Nyama zote zinamatatizo yake, na kuona hii nzuri na ile ni mbaya huo ni uamuzi wa mtu. Hivyo basi hicho kichaa cha itikadi cha kusema hii ni haramu na ile ni halali sio kweli. Wewe kama unakula nguruwe, kula kwa afya yako na nafasi yako. Na kama huli basi wanaokula wataheshimu maamuzi yako.

Tuache misukumo ya kiitikadi kwa kuwaamulia wengine cha kufanya. Mara nyingi hizi dini zinaletea watu kichaa na kubaki wakitangatanga kwenye mambo wasiyoyajua wakati waliozianzisha walikuwa na malengo yao ya kihuni na kusingizia eti mungu anataka, Nasi wenye akili finyu tunafuata mkumbo tu.
 
Ni kweli nyama zote zina madhara kiafya kama zisipo tengenezwa vizuri. Hivyo ni juu ya mlaji kuhakikisha kuwa anafuata kanuni. Ambacho sikubaliani nacho ni kuona kama nguruwe haifaii kabisa, na kutafuta utaalamu na sababu za kuungaunga kwenye mitandao na source nyingine zisizotegemeka. Nyama zote zinamatatizo yake, na kuona hii nzuri na ile ni mbaya huo ni uamuzi wa mtu. Hivyo basi hicho kichaa cha itikadi cha kusema hii ni haramu na ile ni halali sio kweli. Wewe kama unakula nguruwe, kula kwa afya yako na nafasi yako. Na kama huli basi wanaokula wataheshimu maamuzi yako.

Tuache misukumo ya kiitikadi kwa kuwaamulia wengine cha kufanya. Mara nyingi hizi dini zinaletea watu kichaa na kubaki wakitangatanga kwenye mambo wasiyoyajua wakati waliozianzisha walikuwa na malengo yao ya kihuni na kusingizia eti mungu anataka, Nasi wenye akili finyu tunafuata mkumbo tu.

Mdau hapo umenena watu wengi-tena wengi sana-wanatangatanga kwasababu ya hizo imani zao wasizojua kuzitumia. Na, KWELI walichotaka ndo hiki tunachokiona NA WAMEFANIKISHA KWA KWELI. Watu wakiSOMA wakaanza kuiona Dunia katika pembe zaidi ya moja hakika HILI SIO SWALI LA KUJIULIZA WALA KUKUFANYA UTANGETANGE. Jamani tusome tuanze kuwaza nje ya mabox yetu. Na sio kusoma mavitu ya ofisini tuu na siasa hizi uchwara za bongo.
 
Mimi pia ni mtaalamu wa samaki. Samaki ndiyo wanyama wanaoongoza kuwa na minyoo zaidi kuliko yoyote. Hii inatokana na nature ya habitat yake anayoishi. Ni aquatic na medium nzuri ya Platyhelmiths, Nemotodes and ringworma kibao. Sidhani kama wewe Hofstede huli samaki. Samaki huwa hapimwi na Verts. Labda wa Ikulu!

La msingi wewe ndugu ni kuwa mwangalifu. Just observe hygenic standards by eating well cooked foods and hygenically handled.

Lakini pia usisahau kuwa Kuna worms wanakuwa transmitted by insects. Hawa worms wanahitaji well aerated water, kwa hiyo target hapa ni Morogoro, Mbeya na Lushoto kwenye milima inayotiririsha maji hivyo kuyafanya yawe na oxygen kibao. Hawa wanabababisha blindness. Upofu wenyewe hasa! fortunately strain tuliyonayo East Africa haisababishi upofu na hakuna anayejua sababu! Ile ya West Africa ni balaa! Kuna vijiji wote ni vipofu! Mdudu anaitwa Oncocercus volvus.

Anyway, kuna minyoo kibao kibao na si ajabu about a third ya wana JF wako infected. Check with your physician.

Take home message: Always peleka information in a three dimension orientation. siyo kwa matakwa yako.

Mambo ya Usubi hayo, black fly: Simulium spp!!
 
jamani nashauri ukifika kwa muandaaji wa kitimoto umwambie hivi===akichome na mafuta mpaka uridhike/thoroughly==tatizo limekuea 'undercooking' nawasilisha and you can quote me on this. i cant stop eating fish and that animal.
 
Ni kweli nyama zote zina madhara kiafya kama zisipo tengenezwa vizuri. Hivyo ni juu ya mlaji kuhakikisha kuwa anafuata kanuni. Ambacho sikubaliani nacho ni kuona kama nguruwe haifaii kabisa, na kutafuta utaalamu na sababu za kuungaunga kwenye mitandao na source nyingine zisizotegemeka. Nyama zote zinamatatizo yake, na kuona hii nzuri na ile ni mbaya huo ni uamuzi wa mtu. Hivyo basi hicho kichaa cha itikadi cha kusema hii ni haramu na ile ni halali sio kweli. Wewe kama unakula nguruwe, kula kwa afya yako na nafasi yako. Na kama huli basi wanaokula wataheshimu maamuzi yako.

Tuache misukumo ya kiitikadi kwa kuwaamulia wengine cha kufanya. Mara nyingi hizi dini zinaletea watu kichaa na kubaki wakitangatanga kwenye mambo wasiyoyajua wakati waliozianzisha walikuwa na malengo yao ya kihuni na kusingizia eti mungu anataka, Nasi wenye akili finyu tunafuata mkumbo tu.

Very true maana kila kitu ukianza kukichunguza, kitakuwa na madhara kama hakuna umakini na kiasi. Hata kuku tunaowashobokea wana matatizo kibao, tukiongelea zoonosis! Na kama tunachukulia mawazo ya kila mtu kuwa ndio kanuni basi tutafuata njia nyingi, check kidogo hapa: Vegan RD: Chicken is not health food

Muhimu kujua misingi ya afya bora na kuchukua tahadhari!
 
Nguruwe pamoja na kuwa anakula vinyesi na vitu vichafu pia ina matatizo mengi ambayo watafiti wamegundua kuwa nguruwe hata akilishwa lishe safi, bado:(i) Ni wanyama wachafu katika mambo

mengine na nyama ya wanyama wachafu ikiliwa inamuathiri mlaji.
(ii) Nyama ya nguruwe ina mafuta mengi zaidi kuliko nyenzo za kujenga misuli.(iii) Ina uwezakano wa kupata magonjwa kuliko aina nyengine yoyote

ya nyama (Abdallah Yusuf Ali,
The Holy Qur'an, Revised and edited by the Presidency of Islamic Researches, IFTA, Call and Guidance, uk. 69).
Athari ya madhara ya nyama hiyo sasa inajulikana vilivyo na kila mmoja.

Asidi ya Uric, inapatikana kwa kila mnyama, na mwili wa mwanadamu pia ina nasibu yake, ambayo inatolewa nje ya mwili na mafigo kwa 90% ya asidi ya uric inatolewa kwa njia hii, lakini chemia ya nguruwe

ni kuwa inatowa nje ya mwili 2% ya asidi yake ya uric pekee. Iliyobaki inabakia ndani ya mwili wake. Hii ni sababu ya kupatikana kwa kiwango kikubwa ugonjwa wa baridi yabisi (rheumatism) wa nguruwe na wale

wenye kula nyama yake (Maulana Wahiduddin Khan, God Arises, uk. 209 – 210).
Dkt. Simpson ana haya ya kusema kuhusu nyama hiyo: "kwa sababu ya kuwa na mafuta mengi, nyama ya nguruwe ina tatizo kubwa kusagwa katika vyakula vyote. Mnyama huyo anaweza kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na lava wa Taenia

solium
hivyo kufanya "tegu (surua ya nguruwe)" na hii tegu inaleta aina ya tegu, T. solium. Inaathiriwa zaidi na Trichinella spiralis ambayo inaleta maradhi ya "Trichinosis" (Imenukuliwa na Yousef Saleem, Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).
Trichinosis ni ugonjwa ambao unaletwa na

kiinitete cha
Trichinella spiralis wakati vinapohama kutoka kwa utumbo wa mwanadamu mpaka kwenye misuli. Katika wiki ya kwanza baada ya kuvamiwa mtu anaanza kutapika, kuhara na kusikia kichefuchefu. Ugonjwa unapoendelea inaleta matatizo ya kumeza, kuzungumza na kupumua.
Njia moja ya kuzuia ugonjwa

ni kuipima nyama kwa tegu. Lakini Leavell na Clark wameandika: "Kwa vile cysts wa
Trichinella ni wadogo sana kuonekana na macho, uchunguzi huo haufalii kitu. Wajerumani rasmi walikuwa wakifanya uchunguzi kwa hadubini kwa lengo hilo lakini ilikuwa ni ghali sana. Njia bora ya kuepukana na trichinosis ni kupika

bidhaa za nguruwe barabara" (Imenukuliwa na Yousef Saleem,
Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).
Jambo jengine muhimu ni kuwa nguruwe ana shingo ndogo sana (kwa ndani, ingawa nje inaonekana pana), hivyo kuwa shida kuchinjwa. Hivyo, mwanzo anapigwa na chuma na baada ya

kuzirai ndio anachinjwa. Hii ina matatizo kwa sababu Uislamu umeweka aina yake ya kuchinja ambayo inamfanya mnyama atoe kiwango kikubwa cha damu. Kama tunavyojua ni kuwa damu ni chombo cha

kubeba viini vya ugonjwa na kemikali ambavyo vina madhara na hasa kwa mwanadamu. Kubakia ndani ya mnyama damu huenda kukaleta madhara makubwa kwa mlaji. Na kwa kuwa nguruwe hachinjwi kama wanyama wengine, damu nyingi hubakia ndani ya mwili badala ya kutoka nje.
Mwisho, nyama ya nguruwe ni

chakula duni. Charles Annondale ameandika, "Nyama freshi ya nguruwe, japokuwa kwa wengine inachukuliwa kuwa chakula kitamu, hasa anapouliwa akiwa mchanga, ni lishe duni ukilinganisha na nyama ya ng'ombe au mbuzi na inatumika kwa uchache" (Imenukuliwa na Yousef Saleem,
Pork, A Bad Diet Prohibited by Islam, al-Islam, March/April, 1980, p. 29).



Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi:

"Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao"
(11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha

Isaya: "Mwenyezi Mungu asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kuhani akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'" (66: 17).

Na katika agano jipya, Yesu anasema: "Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha" (Mathayo 5: 17). Na Qur-aan ipo wazi kabisa kuwa nyama ya nguruwe haifai kuliwa. Allaah Anasema: "Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).
 
MAGONJWA YA NGURUWE



Homa ya nguruwe ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka nguruwe mmoja kwenda mwingine kwa kasi kubwa sana ukionyesha dalili mbalimbali. Dalili hizi zaweza kujionyesha dhahili au zisijionyeshe wazi wazi wakati huo ugonjwa ukiwa unasambazwa. Dalili ku inayoambatana na ugonjwa huu ni kuvuja na kusambaa kwa damu kwenye viungo vingi vya mwili wa mnyama.


Nguruwe wenye ugonjwa midomo yao ikiwa inavidonda




Nguruwe wenye ugonjwa wakiwa wamejikusanya pamoja wakiwa na vidoa doa vya damu




Masikio yakiwa mekundu kwa damu iliyoviria ndani ya ngozi


Kuvimba kwa figo zilizojaa damu




Madhara yake kwa nguruwe yanaweza kuwa makubwa au madogo yasiyoweza kuonekana kwa macho. Homa ya nguruwe haina tiba maalumu wala

chanjo inayofaa na hivyo uzuiaji wa ugonjwa huu unategemea sana utambuzi wa ugonjwa mapema na kisha kuzuia utembeaji wa holela wa nguruwe (karantini). Maonyo yamekuwa yakitolewa kupitia mikutano ya hadhara na vyombo vya habari kama magazeti ya kuzuia kutembea kwa mifugo ovyo

pamoja na kuzuia kula nyama ya nguruwe kwa kuhofia kusambaa kwa ugonjwa. Kiambatanisho Na 1 na 2 hapa chini vinaonyesha elimu iliyotolewa kwa mlipuko huo yaliyochapishwa na magazeti mawili tofauti kwa siku moja yakiashiria umuhimu wa ugonjwa huo.


Ugonjwa huu umekuwa ukitokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuathiri mifugo na soko la nguruwe kwa ujumla. Ugonjwa huu uliripotiwa kwa mara ya kwanza Tanzania mwaka 1914 ukifuatiwa na mlipuko mwingine mwaka ya 1962. Mlipuko mkubwa wa ugonjwa huu ulilipotiwa na Tasisi ya utafiti ya

wanyama (ADRI), Dar es Salaam miaka ya 1987 an 1988 na kusababisha hasara kubwa sana kijamii na kiuchumi katika mikoa ya Mbeya, Arusha na Kilimanjaro. Tafiti zilizo fanywa na wataalamu wa magonjwa ya virusi (Misinzo na wenzake, 2011) kwa kutumia sampuli kutoka Chunya, Ileje, Kyela,

Loliondo, Ludewa, Temeke and Tukuyu zilizokusanywa kati ya mwaka 2010 na 2011 wakati wa mlipuko zilionyesha kuwepo kwa ugonjwa maeneo hayo. Ugonjwa huu kwa nchi yetu umekuwa ukiripotiwa kama mlipuko ukianzia maeneo ya Mbeya ambako unaaminika kutoka nchi ya jirani ya Malawi. Mwezi

may 2011, mlipuko wa ugonjwa pia ulilipotiwa Dar es Salaam nah ii inatokana na sababu kwamba Dar es Salaam sasa imekuwa na wafugaji wengi wa nguruwe kwa vile ufugaji wa nguruwe unaonekana kuwa na faida kubwa kwa mfugaji.
 
Mdau hapo umenena watu wengi-tena wengi sana-wanatangatanga kwasababu ya hizo imani zao wasizojua kuzitumia. Na, KWELI walichotaka ndo hiki tunachokiona NA WAMEFANIKISHA KWA KWELI. Watu wakiSOMA wakaanza kuiona Dunia katika pembe zaidi ya moja hakika HILI SIO SWALI LA KUJIULIZA WALA KUKUFANYA UTANGETANGE. Jamani tusome tuanze kuwaza nje ya mabox yetu. Na sio kusoma mavitu ya ofisini tuu na siasa hizi uchwara za bongo.

Kweli Msimbo. Unajua kila mtu ana hiari ya auchaguzi. Pia ndio kusema wao wanajua sana sayansi kuliko wala nguruwe? Hapana, tena wala nguruwe na walevi ndio wenye maendeleo na wako mbele kisayansi, tiba, na mambo mengine ya kijamii kuliko wanaosema haramu au kutumia lugha nyingine za kukataza. Uchaguzi ni wa mtu kusuka au kunyoa.
 
Nguruwe haramu tu. Hata mumtetee vipi. Na aliyekataza kumla si mtume Muhammad ila ni Mwenyezi Mungu.
 
Haka kamnyama katam bana ikiwezekana wengi muache ili nibaki mimi na jamaa zangu kama 7 hivi tuendeleze utamaduni wa kununua kilo 10 kabla ya Castle lite barrriiiiiiiiiidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
NIMEKULA KITI MOTO VIPELE VIDOGO VIDOGO VIMEOTA SHINGONI JE NI UGONJWA GANI:sleepy::sleepy:
 
lan Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini



chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...-nyama-ya-nguruwe-kitimoto-kwa-afya-yako.html
 
Last edited by a moderator:
lan Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini



chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...-nyama-ya-nguruwe-kitimoto-kwa-afya-yako.html


Kitimoto shushia Konyagi minyoo yote kwishney
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom