Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kula Kitomoto wala sitoweza kula kitomoto. Kitomoto kina madhara kwa Binadamu huku nilipo kuna Watu kutoka Philipino ndio ugonjwa wao wa kula Kitomoto na Wengi wao mwisho wao hupatwa na Magonjwa ya moyo na vifo vya gafla kwa huo ulaji wa Kitomoto sasa wewe ukipenda kula lakini mimi Siwezi kukushauri ule Kitomoto .Shauri yako..... CrashwiseMziziMkavu mbona watutisha, mara ya mwisho ulikula kitimoto lini kwanza...
Toa ushahidi wako? Unapinga sheria ya Nabii Musa wewe Torati? RGforeveryesu aliwaambia waalimu wa sheria na torati
Ila Kula Nguruwe hakumtii mtu najisi mana huliwa na kutupwa Chooni kama Kinyesi
"Of their flesh shall you not eat, nor touch their dead carcass."
(Deut., 14:8)
Kitimoto ni dawa ya UKIMWI. Kuleni kwa wingi.
Siwezi kula nyama najisi chafu aliyoharamisha Mwenyeezi Mungu mimi ni muungwana SPANERBOY UDZUNGWAHujui unakosa nini .yaani ni tamu
SI MIMI ILA YESUToa ushahidi wako? Unapinga sheria ya Nabii Musa wewe Torati? RGforever
Mathayo, Chapter 5
[SUP]5:17[/SUP] Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
[SUP]5:18[/SUP] Kwa maana, amin, nawaambia ,Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka,yodi moja wala nukta moja ya torati haitaoondoka ,hata yote yatimie.
yesu aliwaambia waalimu wa sheria na torati
"jisafisheni kwanza Rohoni na kila kitu kwenu kitakuwa halali"
Nguruwe huliwa na kwenda kutupwa chooni tu.. Najisi ni hivi hapa
1. Kuzini
2. Kutukana
3. Ulevi wa kupindukia
4. Kubaka
5. Kusema Uongo
6. Uasherati
7. Kuiba
8. Kutamani wake wa watu
9. Kutoa ushahidi wa Uongo
10. Kuua
N.K
Ila Kula Nguruwe hakumtii mtu najisi mana huliwa na kutupwa Chooni kama Kinyesi
Kumb. 14:8 Nguruwe pia ni najisi,
ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui.
Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
Mkuu Zomba ni sahihi kwa andiko hilo. Lakini umejiuliza alikuwa anamwambia nani? Kifupi, MUNGU alikuwa ameahidi kwa nyumba ya Ibrahim. Sasa ili kuhakikisha lengo linatimia, aliamua kuwatenga waahidiwa kujizuia kufanya mambo fulani wakati jamii nyingine inaruhusiwa kufanya. Walawi, ndio waliochanguliwa kwa ajili hiyo, hivyo kuwatenga na watu wengine wa nyumba ya YAKOBO, Mungu akawapa sheria hiyo ya nini wale, nini wasile. Ni walawi tu nasisitiza.
LAKINI
Mwanzo 9:1-4 inaeleza tofauti.
9
Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe,
akiwaambia, '‘Zaeni mkaongezeke kwa
idadi na mkaijaze tena
a
dunia.
Wanyama wote
wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe
kitambaacho juu ya ardhi na samaki wote wa
baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao
watawaogopa na kuwahofu.
3
2
Kila kitu chenye
uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama
vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa
nawapa kila kitu.
"Lakini kamwe msile nyama ambayo bado
ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni
uhai.
4
Hakika damu ya uhai wenu nitadai.
Nitadai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa
kila mwanadamu pia nitadai kwa ajili ya uhai wa
mtu mwenzake.
Hapa Mungu alisema na NUHU, ni baada ya wanadamu wote kuteketezwa, hivyo alikuwa akiongea na dunia nzima. Anayekataa kula kitimoto, si kwa sababu Mungu kamkataza, bali ana alegi nayo, kama wengine walivyo na aleji na kuku, mbuzi, kondoo na wanyama wengine.
Ni Wapi aliposema Yesu kuleni Nguruwe katika Biblia ? mimi ndio ninayotaka usilete maneno yako ya mafumbo hapa toa Aya inayosema hivyo RGforeverSI MIMI ILA YESU
...Ushahidi ni YESU
HIYO HIYO MATHAYO IMESEMA KIINGIACHO MWILINI HUTOLEWA CHOONI....
YESU ALISEMA
"Toeni kwanza machafu yote yaliyo Rohoni na kila kitu kwenu kitakuwa ni Halali"
YESU NI MKUBWA KULIKO MANABII