Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Mi naomba kuuliza, hivi ngurue anachinjwa shingo kama wafanywavyo ng'ombe au mbuzi, nk?

Wanapigwa nyundo kwanza kichwani halafu wanakata shingo kuanzia nyuma!
Nguruwe hana shingo km ya ng'ombe au mbuzi unamkata kuanzia kisogoni!
Sehemu ambayo mbuzi na ng'ombe wana koromeo shingoni basi ndipo mdomo wa nguruwe ulipo!
 
Yani kitimoto na bia ni dawa ya ukimwi. Tule na tunywe kwa wingi tuitokomeze ngoma duniani.

We unadhani kila mtu mzinifu kama wewe!
We endelea tu kujidanganya! Siku ya kukuzika maiti yako ule mfuko wa rambo unatosha kabisa kukusafirishia!
 
Vitu vitamu tamu vina matatizo
Ngono
Nguruwe
Ngano
Ngumu kuacha ila ndio hivyo busy f'*^*ng yaself
 
Wanapigwa nyundo kwanza kichwani halafu wanakata shingo kuanzia nyuma!
Nguruwe hana shingo km ya ng'ombe au mbuzi unamkata kuanzia kisogoni!
Sehemu ambayo mbuzi na ng'ombe wana koromeo shingoni basi ndipo mdomo wa nguruwe ulipo!

anayechinjwa shingoni huwa akuwa hajafa?
 
Mi naomba kuuliza, hivi ngurue anachinjwa shingo kama wafanywavyo ng'ombe au mbuzi, nk?


Mungu keshawaonyesha kuwa hafai mana hata shingo ya kuchinja tu hana, tofauti kabisa na wanyama wengine km ngomb, mbuzi, kuku n.k

nasikia wanamlima shoka la nguvu eti ndio kachinjwa
 
Nimeipenda hii mada hasa ulivyo ichambua nyama ya nguruwe Kiafya lakini nasikitika sitafanyia kazi mafunzo niliyoyapata

bora ww umesema kweli mvaa tai, japo hutaicha lkn ujue si nzuri kwa afya yako na familia yako..km una wtt usiwape kula mwenyewe mvaa tai
 

Nguruwe ambapo katika mwili wake hukusanyika jumla ya vijiumbe maradhi visivyoondoka kwa kuoshwa
Mdomo ni maficho ya vijidudu, bakteria na virusi vinavyokwenda kwa binadamu na wanyama.
Baadhi yake vinamhusu nguruwe, mfano wa kidudu kiitwacho Trchinella, nywelenywele ziitwazo Balantidium Dysentery, wadudu wa tumbo (Taenia Solium) na mchango wa nguruwe (Spiralis). Baadhi yake huingizwa kwenye maradhi mengi ya pamoja baina ya binadamu ( Cysticercosis & Influenza) na wanyama.

Minyoo (Ascaris na Fasciolopsis Buski) hupatikana kwa wingi nchini China.

Maradhi ya Balantidiasis hupatikana kwa wachunga nguruwe na wenye kuchanganyika nao, na yanaweza kuenea kwa sura ya mlipuko kama ilivyotokea katika moja ya visiwa vya bahari ya Pacific baada ya kimbunga. Maradhi yanakuwepo panapokuwepo nguruwe katika nchi zilizoendelea kiviwanda kinyume na madai ya uwezekano wa kuushinda uchafu wake kwa kutumia teknolojia mpya zinazoharamisha kula nyama bila ya kibali, hasa nchini Ujerumani, Ufaransa, Philippines na Venezuela.
Kwa kula minofu ya nyama ya nguruwe, (Trichinellosis) hupatwa na ugonjwa wa Balantidium Dysentery. Kwani mke hubungua kuta za matumbo kwa ajili ya kuweka mayai ambayo yanafikia kiasi cha 10,000. Mayai hayo huingia kwenye misuli kupitia damu na kugeuka kuwa ni vijiyai vyenye kuambukiza.
Ama kupata maradhi kupitia mchango wa nguruwe, ni kuwa hiyo hupatikana baada ya kula minofu ya nguruwe mwenye ugonjwa.

Minyoo hukua kwenye mchango wa binadamu na urefu wake unaweza kufikia meta saba, na unakuwa na kichwa chenye miba inayosababisha kukwaruzika kwa kuta za michango na mchupo mkubwa wa damu, na ana mirija minne na shingo. Aina za mke huzaliwa kama kwamba ni wanyama pekee na hufikia maelfu. Na katika kila mmoja kati ya mnyama, huzaliwa zaidi ya mayai elfu moja iwapo utakula Cysticercosis.

Kupatwa na ugonjwa wa minyoo ya tumbo la binadamu, hutokana na kula chakula kilichoingia mayai na kutoa lava, na huingia katika damu kupitia kiungo chochote. Na hatari yake hukisiwa kwa mujibu wa umuhimu wake.
Maradhi haya hayatokei kabisa kutokana na kupatwa na mchango usio na miba katika kichwa na wenye madhara madogo
kabisa Taenia Saginata ya ng’ombe.



KIIMANI
kwa upande wa Quran
"Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).


KWA UPANDE WA BIBILIA
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao” wala msiguse mizoga yao (Walawi 11: 7 – 8).[
 
Yaani nishapiga kilo moja hapa.... Halafu hii kitu hata ikipandishwa bei si tunatwanga kimya kimya... Sasa ngoja ipandishwa ile ya ng'ombe usikie wa kwa mama mdogo wanavyolalama
 
Padre akamwambia Shekh "Wewe hujui unachokikosa"

Shekh naye akamjibu Padre.. Naona wewe ndio haswaa hujui unachokikosa!
 
kwa upande wa biblia kuna nyakati saba ambazo wanadamu waliishi na kuendelea kuishi, kukatazwa kura nguruwe ilikuwa wakati wa sheria yaani torati, kwa sasa tupo nyakati ya neema baada ya Yesu kufanyika kuwa mwokozi wa wanadamu, hivyo kipindi hiki cha neema kila kitu ni sawa kukitenda kama hakikufanyi utende dhambi yaani kumkosea Mungu.
 
ukitaka kujua kama hiyo nyama ya nguruwe haifai kabisa kwa matumizi ya binadamu hebu jaribu kufanya yafuatayo kabla ya kupika
1. Chukua nyama ya nguruwe robo kilo/nusu kilo(mbichi) halafu uiweke kwenye bakuli/sufuria
2. Chukua soda aina ya coca cola kama lita moja hivi halafu iloweke hiyo nyama kwenye hiyo coca cola
3. ifunike kwa muda wa kama dakika 40 hadi saa 1 ivi halafu ifunue uangalie
4. Nyama hiyo itatoa wadudu wa chooni/funza ambao wanaonekana kwa macho haihitaji darubini.
5. baada ya hapo fanya maamuzi sahihi kama kweli unajipenda ww na familia yako


Kwani nyama huwa zinaliwaga mbichi?si zinapikwa au kuchomwa?kwanini hujajaribu nyama ya mbuzi/ngombe
 
Back
Top Bottom