Madhara ya kumuondoa Profesa Ndalichako Wizara ya Elimu yaanza kung'ata

Madhara ya kumuondoa Profesa Ndalichako Wizara ya Elimu yaanza kung'ata

Yawezekana wanataka kupandisha alama za kujiunga na ualimu,kwasababu miongoni mwa kada ambazo mtu anatakiwa awe na ufaulu mzuri,ili ajiunge na vyuo vya ualimu vya serikali,ni ualimu,tofauti kabisa na ustawi wa jamii,maendeleo ya jamii,unesi n.k. namaanisha ngazi ya cheti.
 
Ligha tu ile ya kiungwana,jua tu Kabudi kawekwa kando

nazani ingekuwa vyema turejeshe system ya UPE hawa waka somee ualimu...

nakumbuka juzi kuna Prof alikuwa ana zungumza katika kongamano la walimu dodoma, alisema ana shangaa kuona walio feli hesabu ndio wana enda kuwa walimu wa hesabu... walio feli kemia, fizikia nao hivyo hivyo... alafu una taka matokeo makubwa ktk elimu...

nae mtoa mada nae ni wale wale... hujafungwa kamba nenda kamsomeshe mwanao anachopenda iwe urubani hata udaktari, hacha kupiga kelele za kijinga... peleka mwanao unapo hisi anafiti kwa mustakhabari wa maisha yake

hakuna mbunge au mwanasiasa atakupelekea mwanao shule kama IST, FEZA etc hivyo ni jukumu lako mwenyewe. sasa kama wewe ndio mzazi unalialia, au unashindwa kufikiria na kuchukua hatua kutoka ktk tatizo ulilo nalo, utabaki kuwa kichekesho...
No question is stupid but the answer!

You have tried hard sugarcoating your opinion but only to achieve less-juridica for your cajole of my personage. You have tried in vein but mere narrative! Put yourself in my shoes for your child.
 
Yani Mkuu,Ndalichako anafaa asiwe Waziri Tena,tayari ameshalitumikia Taifa hili Miaka mingi Sana yule mama,apumzishwe tu
Huyu kijana hoja yake ya kutaka Ndalichako abaki hapo W ya Elimu huenda ndio kile Nyerere alisema alikuwa anasukumwa abaki kuwa Rais na watu waliofaidika na yeye kuwa Rais
It appears that so much the public do not know of this nation. Try researching why Ndalichako was removed from NECTA as ES during 4th phase. I task you for such an assignment! More so, Ndalichako wasn't in the cabinet in 90's.
 
Tupe sera (nukuu utuwekee hapa tujiridhishe) inayosema kwamba Division One 8 points anaenda kusomea ualimu. Mtoto wa waziri aliyepata ufaulu huo anaweza kwenda kusoma ualimu? Mtoto wako je?

Nadhani tukiachana na siasa, ushabiki na hisia tutatenda haki na tutapata majibu stahiki.
Tatizo hizo division xinapatikana kimagumashi sana siku hizi

A ni 70 Unategemea nini!?


madogo wana one za 7 kama utitiriri utawapeleka wali wote hao mzumbe,kibaha na iliboru au kilakala hazitoshi.

Kuna mmoja ana one ya 7 kapelekwa usevya huko katavi.

Elimu imekuwa rahisi sana hasa ya secondary na msingi.

Walianza kuharibu na ile BRN tangu pale kila kitu kiikawa kama kula urojo.
 
Yawezekana wanataka kupandisha alama za kujiunga na ualimu,kwasababu miongoni mwa kada ambazo mtu anatakiwa awe na ufaulu mzuri,ili ajiunge na vyuo vya ualimu vya serikali,ni ualimu,tofauti kabisa na ustawi wa jamii,maendeleo ya jamii,unesi n.k. namaanisha ngazi ya cheti.
Yes! but is there any proof (written document in the form of policy change) that can be tabled?
 
Elimu ni mojawapo ya wizara zilizoleta taharuki ya kuondolewa mawaziri wao kufuatia ladha za utendaji wao zilivyokuwa tamu kwa taifa (wananchi).

Wizara zingine ni Ardhi na Sheria & Katiba. Malalamiko ya ardhi yaliyokuwa yamepunguzwa sana na Mhe. Lukuvi sasa yameanza kurudi kwa kasi.

Prof. Kabudi aliboresha sekta ya Sheria na Idara ya Mahakama. Lakini pia alipokuwa Mambo ya Nje kwa kutumia uzalendo wake alitetea rasilimali za nchi zilizokamatwa ikiwa ni pamoja na kurejesha nyumbani wanafunzi wa Kitanzania walionasa nje ya JMT kwa lockdown ya Uviko-19 hasa China na India (wale wa vita ya Ukraine sijui wako wapi?).

Kiini cha wasilisho (post) hili ni elimu. Inawezekanaje mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne kwa ufaulu wa daraja la kwanza alama 8 (tena shule ya Junior Seminary) anapangiwa kwenda kusoma ualimu.

Binafsi sijasikia kama kuna mabadiliko ya sera wizara ya elimu yaliyoleta utaratibu huu mpya ambao hapo awali haukuwepo asilani.

Kama kuna mdau Mwalimu humu naomba taarifa ya kitaalam toka kwake kama mtaalam wa fani ya ualimu; ili nijuwe kama kuna mabadiliko ya sera chini ya Prof. Mkenda.


Watendaji wasio mahiri ndiyo walimponza Prof. Muhongo ambaye anajulikana kimataifa kwa umahiri wake, Dr. Kalemani alipopokea kijiti cha Prof. Muhongo ilibidi awe makini na watendaji na akawa na kasi kubwa ya kazi.

Mwl. Nyerere akihutubia katika hafla ya kubadili Chuo cha Itikadi Kivukoni kuwa taasisi ya kiserikali ya taaluma za jamii alisema kama atathibitika kufeli kwenye utawala wake basi wahusika ni watendaji aliowaweka na kama angeweza kurudi kutawala basi angepambana na watendaji zaidi kuliko watumishi wengine.
Kwani aliyekuwa wazili wa elimu ye pekee ndiye anafaa?Napenda watu wapya ktk wizara ila wenye ubunifu.
 
Elimu ni mojawapo ya wizara zilizoleta taharuki ya kuondolewa mawaziri wao kufuatia ladha za utendaji wao zilivyokuwa tamu kwa taifa (wananchi).

Wizara zingine ni Ardhi na Sheria & Katiba. Malalamiko ya ardhi yaliyokuwa yamepunguzwa sana na Mhe. Lukuvi sasa yameanza kurudi kwa kasi.

Prof. Kabudi aliboresha sekta ya Sheria na Idara ya Mahakama. Lakini pia alipokuwa Mambo ya Nje kwa kutumia uzalendo wake alitetea rasilimali za nchi zilizokamatwa ikiwa ni pamoja na kurejesha nyumbani wanafunzi wa Kitanzania walionasa nje ya JMT kwa lockdown ya Uviko-19 hasa China na India (wale wa vita ya Ukraine sijui wako wapi?).

Kiini cha wasilisho (post) hili ni elimu. Inawezekanaje mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne kwa ufaulu wa daraja la kwanza alama 8 (tena shule ya Junior Seminary) anapangiwa kwenda kusoma ualimu.

Binafsi sijasikia kama kuna mabadiliko ya sera wizara ya elimu yaliyoleta utaratibu huu mpya ambao hapo awali haukuwepo asilani.

Kama kuna mdau Mwalimu humu naomba taarifa ya kitaalam toka kwake kama mtaalam wa fani ya ualimu; ili nijuwe kama kuna mabadiliko ya sera chini ya Prof. Mkenda.


Watendaji wasio mahiri ndiyo walimponza Prof. Muhongo ambaye anajulikana kimataifa kwa umahiri wake, Dr. Kalemani alipopokea kijiti cha Prof. Muhongo ilibidi awe makini na watendaji na akawa na kasi kubwa ya kazi.

Mwl. Nyerere akihutubia katika hafla ya kubadili Chuo cha Itikadi Kivukoni kuwa taasisi ya kiserikali ya taaluma za jamii alisema kama atathibitika kufeli kwenye utawala wake basi wahusika ni watendaji aliowaweka na kama angeweza kurudi kutawala basi angepambana na watendaji zaidi kuliko watumishi wengine.
Andiko lako zuri sana na kama mdau wa Elimu kumpangia mtoto wa daraja la kwanza na pili UALIMU ( diploma maalum) sikubaliani nalo kabisa.

Ila kumsifia Ndalichako ndio umekosea sana wizara ya Elimu ilikuwa DORMANT kwenye kipindi chake. Hakuna jambo lolote alilofanya katika kipindi chake.

Halafu uchaguzi umefanywa na TAMISEMI kwa nini unailaumu wizara ya Elimu ??
 
Tupe sera (nukuu utuwekee hapa tujiridhishe) inayosema kwamba Division One 8 points anaenda kusomea ualimu. Mtoto wa waziri aliyepata ufaulu huo anaweza kwenda kusoma ualimu? Mtoto wako je?

Nadhani tukiachana na siasa, ushabiki na hisia tutatenda haki na tutapata majibu stahiki.
Hiyo ni DIVIDE AND RULE... Kiongozi gani mtoto wake ataenda kusomea UALIMU ili aje kulipwa laki nne kwa mwezi huku Irobi kijijini.
 
Back
Top Bottom