Madhara ya kumuondoa Profesa Ndalichako Wizara ya Elimu yaanza kung'ata

Yawezekana wanataka kupandisha alama za kujiunga na ualimu,kwasababu miongoni mwa kada ambazo mtu anatakiwa awe na ufaulu mzuri,ili ajiunge na vyuo vya ualimu vya serikali,ni ualimu,tofauti kabisa na ustawi wa jamii,maendeleo ya jamii,unesi n.k. namaanisha ngazi ya cheti.
 
Ligha tu ile ya kiungwana,jua tu Kabudi kawekwa kando

No question is stupid but the answer!

You have tried hard sugarcoating your opinion but only to achieve less-juridica for your cajole of my personage. You have tried in vein but mere narrative! Put yourself in my shoes for your child.
 
It appears that so much the public do not know of this nation. Try researching why Ndalichako was removed from NECTA as ES during 4th phase. I task you for such an assignment! More so, Ndalichako wasn't in the cabinet in 90's.
 
Tatizo hizo division xinapatikana kimagumashi sana siku hizi

A ni 70 Unategemea nini!?


madogo wana one za 7 kama utitiriri utawapeleka wali wote hao mzumbe,kibaha na iliboru au kilakala hazitoshi.

Kuna mmoja ana one ya 7 kapelekwa usevya huko katavi.

Elimu imekuwa rahisi sana hasa ya secondary na msingi.

Walianza kuharibu na ile BRN tangu pale kila kitu kiikawa kama kula urojo.
 
Yes! but is there any proof (written document in the form of policy change) that can be tabled?
 
Kwani aliyekuwa wazili wa elimu ye pekee ndiye anafaa?Napenda watu wapya ktk wizara ila wenye ubunifu.
 
Andiko lako zuri sana na kama mdau wa Elimu kumpangia mtoto wa daraja la kwanza na pili UALIMU ( diploma maalum) sikubaliani nalo kabisa.

Ila kumsifia Ndalichako ndio umekosea sana wizara ya Elimu ilikuwa DORMANT kwenye kipindi chake. Hakuna jambo lolote alilofanya katika kipindi chake.

Halafu uchaguzi umefanywa na TAMISEMI kwa nini unailaumu wizara ya Elimu ??
 
Hiyo ni DIVIDE AND RULE... Kiongozi gani mtoto wake ataenda kusomea UALIMU ili aje kulipwa laki nne kwa mwezi huku Irobi kijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…