Cassablanca
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 324
- 590
VP CassaBWakuu kuna Raum nataka niinyanyue kwa inchi kadhaa. Nilipitia nyuzi nyingi humu nikaona wengi wanashauri kutumia aluminium spacers. Ila kwenye pitapita yangu mitandaoni nimekutana na maelezo yanayochambua ubaya wa kutumia spacers kuwa zinaharibu suspension na shock absorbers.
Naomba uzoefu kwa waliowahi kufanya hivyo.
View attachment 702458
View attachment 702432
Asante Mkuu Styvo254, kwa kweli unazidi kunipiga za usoni nisiinyanyue Raum!VP CassaB
Umeleta issue muhimu sana, shukran kw kuwa inquisitive.
Uwekaji wa spacers kwa strut ili kuinyanyua gari ni jambo common sana ILA sio sahihi hata kamwe! Ubaya wake ni zaidi ya kuziharibu shox na springs!
Waunda magari wamei-design suspension kw makini sana, tena sana! Kuna kitu kiitwacho Suspension Geometry!!! Hii ni kumaanisha uundaji wa mfumo huu umetumia hesabu nyingi, zinazohusisha uzani, kasi, mskumo (inertia/momentum) na mambo mengine mengi.
Kubadili jambo lolote kw mfumo huu sio jambo rahisi kw kua kw kila jambo moja ubadilishalo, kuna mengine pia wafaa kubadili ili kuusawazisha mfumo kw utenda kazi wake.
Kuna effect ya kubadilisha size ya tairi. Unapobadilisha diameter ya tairi unaathiri revolution ya tairi hivyo kufanya speed ya gari kubadilika. Mfano odometer inaweza kusoma upo speed 50km/h kumbe gari ipo 70km/h hii inatokana na kubadili mzingo wa tairi.Kuna gari zina interior za aina mbili.
Kuna interior ambayo parts nyingi ni plastic kama vitz, platz na passo.
Na kuna gari ambazo interior ni fabric na sponge kwa wingi kama Toyota GX 100, Carina TI na zingine.
Nilichogundua, ukiweka spacers kwenye gari ambayo ina plastic interior, kuna vikorokoro vitaanza kupiga kwenye gari mpaka kwenye madirisha wakati unaendesha. It is very annoying.
Kama ukiweka spacers kwenye GX100 au Carina hutasikia vikorokoro. Sijajua RAUM kama ina plastic au sponge kwa wingi.
Mimi sishauri uweke spacers. Nashauri ununue Tairi kubwa lililoruhusiwa kwenye gari halafu ununue rims ambazo zitafit.
Kwa kawaida ukifungua mlango upande wa dereva pale ubavuni huwa wanaonyesha size ya mwisho ya tairi unayoruhusiwa kufunga.
Kuna effect ya kubadilisha size ya tairi. Unapobadilisha diameter ya tairi unaathiri revolution ya tairi hivyo kufanya speed ya gari kubadilika. Mfano odometer inaweza kusoma upo speed 50km/h kumbe gari ipo 70km/h hii inatokana na kubadili mzingo wa tairi.
Unapobadili diameter ya tairi basi unatakiwa kufanya calibration ya speedometer yako upya....
Ila gharama ya kunyanyua tairi ni itacost maisha yako.... utakua unatembea na speed ambayo si halisi untill ufanye calibration...Ni bora kunyanyua kwa tairi kuliko spacers. Njia bora zaidi ni ya kutumia suspension ila ni ghali na kuipata kwake si rahisi
Kwahiyo nakuwa natembea 45 kwenye kibao cha 50 kumbe nipo 70?Ila gharama ya kunyanyua tairi ni itacost maisha yako.... utakua unatembea na speed ambayo si halisi untill ufanye calibration...
Dawa ni ni kununua lift kit au coilovers...
Yes mkuu...Kwahiyo nakuwa natembea 45 kwenye kibao cha 50 kumbe nipo 70?