Madhara ya kunyonyana Sehemu za Siri

Ukinionesha mwanamke hata mmoja tu aliyepata madhara baada ya kunyonya uume namimi nitakuonesha Paka anayetaga mayai na kutamia
 
Watu mna ujasiri sana aisee duh
 
Nilitarajia kukutana na video iliyorekodi wenye hivi vinywa wakiwa wanafanya dispositioning wakati wa sex lakini matokeo yake umeleta mapicha hapa ya wazungu ambayo wewe mwenyewe hujui anaumwa ugonjwa gani..
Acheni kuidhalilisha kada ya udaktari basi..
Ndio maana mapopoma mengi yanahitimu hadi masters lakini yanaishia kuwa madalali ya dawa zilizotengenezwa na wengine kwenye page zao..
Aibu iliyoje kwenye taifa??
 
asilimia kubwa wamepinga kwakua kuna kitu kina miss kwenye tafiti zako.
 
Tulia wewe, ingawa siyo Ackson Mwansasu.
Visonono vipo tu na magonjwa yapo hata kwenye vyakula, la msingi vya kuzingatiwa vizingatiwe.
Siyo kila demu ni wa kumnyonya na lakini kuna wengine bila kuwanyona unapata both dhambi na jinai
 
na umejua kututishia kwel ila hapo mkuu akili kumkichwa kila mtu ana zake πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™‚οΈ hawa watt wa mamkwe sasa au bas πŸ˜„
 
Vipi kama ukifanya hivyo kwa mkeo ambae mmepima , Afya zenu ziko safi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…