Madhara ya kusajili bila kocha yameanza kuonekana Simba SC kabla hata msimu kuanza

Madhara ya kusajili bila kocha yameanza kuonekana Simba SC kabla hata msimu kuanza

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana.

Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za kumsajili striker mwingine hizi gharama zingeepukika kama viongozi wa simba wangefuata professionalism kwa kuanza na kocha alafu ndo wakafuata wachezaji.
 
Simba ni kama chelsea ya enzi zile kocha ukizidi ni miezi sita,sasa ya nini kusikiliza mtu mtakayekaa nae kwa miezi sita.

Hakyna timu inasajri kwa kumsikiliza kocha,hata mkude na chama sio request ya kocha wa Yanga.
 
Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana

Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za kumsajili striker mwingine hizi gharama zingeepukika kama viongozi wa simba wangefuata professionalism kwa kuanza na kocha alafu ndo wakafuata wachezaji
hilo ndo tatizo linaloitafuna simba sc.uwezi sajili bila kocha maana kocha ndo anafahamu maitaji ya timu yake kulingana na wachezaji atakaokuwa nao kwa wakati huo.
 
Simba ni kama chelsea ya enzi zile kocha ukizidi ni miezi sita,sasa ya nini kusikiliza mtu mtakayekaa nae kwa miezi sita
Hakyna timu inasajri kwa kumsikiliza kocha,hata mkude na chama sio request ya kocha wa yanga
Sio request ya kocha ila walisajiliwa kocha akiwepo ni tofauti na simba
 
Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana

Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za kumsajili striker mwingine hizi gharama zingeepukika kama viongozi wa simba wangefuata professionalism kwa kuanza na kocha alafu ndo wakafuata wachezaji
Hivi unaogopa nini kuwataja GENTAMYCINE na OKW BOBAN SUNZU ndiyo waliokuwa wanashadidia. Azizi Ki anamuona
 
Wakati simba wanasijili bila kocha tuliongea na kusema sio utaratibu ila mashabiki wa simba walitukebehi na kutubeza amekocha kocha kuna baadhi ya wachezaji amesema haridhishwi nao kama lakred, ngoma, koblan na onana

Mpaka sahivi timu imeingia gharama nyingine ambazo hazikua na ulazima za kumsajili striker mwingine hizi gharama zingeepukika kama viongozi wa simba wangefuata professionalism kwa kuanza na kocha alafu ndo wakafuata wachezaji
Tulia wewe, tajiri Karudi
 
Iv technical director wa simba n nan? huyu ndio anatakiwa a idenrfy playing style ya timu, ajue alete kocja gni, na ainz ya wachezaji wanaofit kwenye hio style, ila mpira wa tz bna 🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom