Yaani nikikusoma ni kama unapenda zaidi kampani ya wanaume wenzio kuliko wanawake, jambo ambalo lilikufanya kuhama toka kwenu kwenda kukaa nao huko dojo, sijui dojo...Haya bwana.mkuu ngoja niongeze tena yrs za kutosha wakati wakati nafanya mchakato wa kuoa.Thanks sana sana mkuu.Ujue hali hii huwa inanifurahisha na kuzidi kupata nguvu yakuto fanya mapenzi pindi niwapo dojo nafanya zoezi na washikaji ambao ni cha ngono huwa nastahimili mikiki mikiki na kuwakimbiza mpaka rahaa.Huwa nawa enjoy sana wanapo frot na kutweta.
Hakuna madhara yoyoyte kiujumla wake ila lazima ujue kisaikolojia binadamu hubadili concentration ya pleasure kadili akuavyo ndo maana watoto huconcentrate kunyonya maziwa ,kunyonya kidole akikua kidogo ana concentrate kula kila kitu mchanga ,analilia wali etc akiongezeka anahama pia kwenye jinsia kama ni wakike anaanza kubeba midoli kutembea kike kumpenda baba ,wa kiume yeye anajifanya a hero and masculine yaani anapenda movies za vita ,anord schwerznegger mara ajifunze sarakasi (ndo stage yako) kisha at 15 to boys na 13 girls wanaanza kuhamisha centre of pleasure kujihusisha na jinsia nyingine hadi 20's hiki ndo huwa kipindi cha true love ,20-30's hapo ni kuadopt adult hood kujifunza kuzungumza na watu wazima kuhudhuria misiba kufanya marafiki ,kushinda bar kunahusika ,kisha baada ya 30's huwa ni kurudi mwanzo tena .Wadau naomba kujuzwa juu ya hili.
Mim nikijana nina mda kama 5yrs cjawahi kufanya mapenzi kbs na sababu kubwa iliyosabisha yote hayo ni ufanyaji wa mazoez ya karet niliyokuwa nayafanya.Mwalim aliyekuwa ana2fundisha alikuwa ana2mia mda mwing sana ku2asa juu ya pombe na ngono mpaka ikafika kpndi nikahama nyumban nakwenda kuish dojo pamoja na wenzangu.Kikubwa nikuchungana.
Mpaka sasa nimetokea kuwachukia kbs wasichana.Hali hii naona inazidi na akiri yangu inazidi kuwa athirika na huwa sifikirii kbs swala la kufanya mapenz ingawa huwa kuna mda mwili huwa una sisimka .Lkn akiri haipo huko kbs.
Je hali hii nikiendelea nayo ni madhara yapi naweza kuyapata??
Naomba msaada wenu wakuu mim ni mzima kbs kila ki2 kinapiga mzigo na kutema madin kama kawa??
Naomba niliwasilishe kwenu wataalam
hahahahaha teh teh teh teh mkuu hapo umenena hakuna ngono nzuri na tamu kama ya kwenye njozi we ni mwendo wa kuwachapa nao tu.
Masista duu masuper staa madem karibia woote wa mtaani nishawagonga.