Madhara ya kutokufanya mapenzi

Madhara ya kutokufanya mapenzi

Eti wadau,

Mimi ni kijana nina miaka 22 nimehitimu kidato cha sita hivyo najliandaa kuingia chuo hivi karibuni. Sijawahi kufanya mapenzi mpaka umri huu, nimekuwa mwoga sana kwa wanawake, hivyo naishia kuumia tu.

Vipi wadau nifanyeje, pia kuna madhara gani nisipofanya?

Ukitaka kujua madhara, simama nyuma ya mwanamke wakati upo kwenye daladala la kwenda Mbagala
 
Hongera sana kwa kujitunza. Neno la Mungu linasema kuwa mwili wako ni hekalu la Mungu (Kor 6:19)., Pia aziniye na mwanamke hana akili kabisa (Mith 6:32). We cha kufanya weka mawazo yako ktk elimu yako, nayaona mafanikio makubwa sana mbele yako.

Hakuna hasara au madhara yeyote kwa 'kuikimbia zinaa' ni faida tupu. Nimalizie kwa kukupa hongera ya kupata nafasi ya chuo. Mungu wa mbinguni akubariki.
Akhsante Mkuuu..
 
Hivi.. Binadamu jinsia ya kiume ambaye hajawai kukutana na mwanamke..kingono.....( i think you know)....huwa wanaitwajeee???????
 
Madhara yake siku zikikupanda ghafla kitaa afu huna mchumba ako wa kuzipunguzia unaeza kupata kesi ya kunaniii kuku,bata ama ata mbuzi atakaekua anapita karibu yako time io
Wewe ni wa KE kweli??
 
Mazara yapo guys
Google utapata majibu mazur

Au google faida za kufanya mapenz alafu zitakuwa kinyume chake ndio madhara yake
 
Back
Top Bottom