Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ni kweli, ila hapa umezungumzia sanasana upande wa vichocheo kwaajili ya kudumu kwenye game muda mrefu na mikorogo.Il tel u something, hakuna chemical ambayo haina madhara. The effects might not be sudden, but with time ziko even worse.
Iko hivi, kwa mfano tuchukulie mvuta sigara, leo akivuta fegi moja alaf kesho mapafu yakaharibika kabisa, do u think mtu mwingine atavuta after observing that? Lakini kwakua madhara sio ya ghafla tunaendelea kujichoma na kujipa moyo. The compound effect goes on n on by the time madhara yanaonekana dhahiri, hakuna njia ya kurudi kurekebisha.
So, hata kwa hizi vichocheo, if ungepaka mkongo leo na kesho dushelele lisisimame tena, hakuna ambae angetumia. But kwakua madhara ni baadae ndo maana wengi wanakua waraibu.
Therefore, ni sawa mtu mwingine akitumia maana kila mtu ana safari yake binafsi. Ni machaguo yao. Kuna vitu you cant compete with. Leo utamuonea wivu because amekua mandingo ghafla, but 10 years later wewe ukiwa unambanjua wife ako daily, mandingo huyo huyo atakua amekaa anaangalia pono coz hakuna atakachoweza kumfanya mwanamke yoyote yule. Sasa hapo chagua, fedheha ipi ni kubwa kati ya kuonekana wa kawauda ryt now au kishindwa kabisa kufanya chochote in the future.
Duuh ila zinasambaa sana habari zake, hata humu nimeziona, ngoja tuone waliowahi kutumia wanasemaje naoMatapeli hazifanyi kama kweli pasingekuwa na operation hao titan gel ni wakenya waongo
Nashukuru kwa taarifa, ila umewahi kuona ama kupata habari za mmoja wa mtu aliyepata madhara??Hizo vitu zina madhara usijaribu
Mbona hospitalini hutoa tiba za namna hiyo kwa wenye matatizo na hupewa dawa za kuongeza vichocheo??Uchochezi wa aina yoyote lazima uwe na madhara tena makubwa...
Aisee...Mbona hospitalini hutoa tiba za namna hiyo kwa wenye matatizo na hupewa dawa za kuongeza vichocheo??
We Linko ....shark
hizo slidenafil zinafanya kazi na zipo approved na madkatri uwakika matokea nyingine lisaa nyingine nusu saa zila jamii ya viagra ,erecto na njoiDuuh ila zinasambaa sana habari zake, hata humu nimeziona, ngoja tuone waliowahi kutumia wanasemaje nao
Ipi hiyo mkuuProduct ipo tena kwa njia ya asili kabisa, nimepewa khabari na mtu wa karibu amewahi kutumia moja kwa mzee mmoja wa kimasai, though siku tano za mwanzoni unakojoa mkojo unarangi kidogo.
Nikiona vijana wanasumbua sana naenda kula na mm product
Aiseee mm natakaSema upewe muongozo tu😁😁😁😁
Nicheki DM mkuu nikupe maelezoIpi hiyo mkuu
Sio Wakenya Titan Gel Ni Warusi BroMatapeli hazifanyi kama kweli pasingekuwa na operation hao titan gel ni wakenya waongo