Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli! Waape kimya kimya...Kufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa
Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda
Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu
Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress
Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie
Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa
Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu
Wewe ni mwanamke?Mkuu matumizi ya hivyo vitu hasa condomu na calendar ni comitment tu ya mtu binafsi ndizo ambazo tunatumia na mwenza wangu siku ambazo hazieleweki condomu ila muda mwingi ni Calendar njia moja nzuri sana na rahisi kutumia......sema waliowengi hawajui kuitumia kazi yao kubwa ni kuangalia tu tarehe badala ya kucheki pia na mabadiliko ya mwili ikiwemo ute utolewao siku husiku.......ni rahisi sana hii kitu
Mi nachosema tu hapa kila mtu afanye anavyoona inafaa maana kumbadilisha mtu si suala dogo
Yalitukuta na wife kubeba mimba isiyotarajiwa kwa sababu ya kuhesabu calendar.Hiyo ni high risk sana mpaka wife kaamua kuweka kitanzi .Na kweli! Waape kimya kimya...
Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5.
Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster!
Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
Na mimba zisizo tarajiwa ni stress jmn! Acha tutumie hizi njia.Yalitukuta na wife kubeba mimba isiyotarajiwa kwa sababu ya kuhesabu calendar.Hiyo ni high risk sana mpaka wife kaamua kuweka kitanzi .
Umakini ndio kazi inayowashinda wengi. Hapo umakini ni wito kwelikweli, Njia hii haijawahi niangusha kwenye Mapito yangu!!Kama mwenzi wako sio mlevi ni nzuri,mi kalenda haijawai niangusha,mwaka wa saba huu.Cha msingi ni kua Makini kwenye kuzihesabu siku.
Sasa zile mbegu zinazolishwa kutoka kwenye korodani zinaenda wapi?Kumwaga anamwaga ila ni majimaji tu yasiyotungisha mimba ila ni upuuzi
Hakuna tofauti na punyeto
Asante tumefanania kabisa mtoto miezi mitano mimba ingineNa kweli! Waape kimya kimya...
Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5.
Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster!
Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
Kikubwa kuzaa tu,hayo mengine dharula tu,jibu hili kwa wanaotafakali.Sex imewekwa ya nini Mkuu?
Dah,Safari hii imeniangusha.Huu uzi sijui nimeukutaje humu.Mwaka wa 7_8.Umakini ndio kazi inayowashinda wengi. Hapo umakini ni wito kwelikweli, Njia hii haijawahi niangusha kwenye Mapito yangu!!