Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

Hivi ile ya mwanaume akifunga kizazi anakua na uwezo wa kumwaga wazungu?
Kumwaga anamwaga ila ni majimaji tu yasiyotungisha mimba ila ni upuuzi
Hakuna tofauti na punyeto
 
Kufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa

Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda

Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu

Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress

Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie

Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa

Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu
Na kweli! Waape kimya kimya...
Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5.
Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster!
Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
 
Mkuu matumizi ya hivyo vitu hasa condomu na calendar ni comitment tu ya mtu binafsi ndizo ambazo tunatumia na mwenza wangu siku ambazo hazieleweki condomu ila muda mwingi ni Calendar njia moja nzuri sana na rahisi kutumia......sema waliowengi hawajui kuitumia kazi yao kubwa ni kuangalia tu tarehe badala ya kucheki pia na mabadiliko ya mwili ikiwemo ute utolewao siku husiku.......ni rahisi sana hii kitu
Mi nachosema tu hapa kila mtu afanye anavyoona inafaa maana kumbadilisha mtu si suala dogo
Wewe ni mwanamke?
 
Na kweli! Waape kimya kimya...
Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5.
Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster!
Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
Yalitukuta na wife kubeba mimba isiyotarajiwa kwa sababu ya kuhesabu calendar.Hiyo ni high risk sana mpaka wife kaamua kuweka kitanzi .
 
Kama mwenzi wako sio mlevi ni nzuri,mi kalenda haijawai niangusha,mwaka wa saba huu.Cha msingi ni kua Makini kwenye kuzihesabu siku.
Umakini ndio kazi inayowashinda wengi. Hapo umakini ni wito kwelikweli, Njia hii haijawahi niangusha kwenye Mapito yangu!!
 
Na kweli! Waape kimya kimya...
Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5.
Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster!
Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
Asante tumefanania kabisa mtoto miezi mitano mimba ingine

Pole sana shosti lkn hope unaenjoy saiv!!
 
Aliyekudanganya condom ni njia salama kakudanganya sanaa
 
Back
Top Bottom