Madhara ya kuunganisha bluetooth ya simu!

Yaani nimependa masali fikirishi uliyomuuliza. Tatizo letu tulio wengi kwenye uhandishi ni namna ya luallign flow of ideas and thought. Sasa yeye anaandika tu , hafikilii je idea na thought zangu zimeallign. Kweli atuambie choo kama kiko ndani basi lazima alipita sebureni, labda kama aliruka kupitia dirishani akatokomea huko anakosema yuko hajarudi tena nyumbani
 
Kwani aliloandika ni la ajabu halowezi tokea?
Linawezekana ndiyo ila ninaamini hata wewe kuna watu the way wanavyo changia au kuandika thread inakupa picha ni mtu wa viwango gani kwa kuja na jambo kama hilo, ila kama pia nimekosea naomba radhi ila kwa thread hiyo hapana.
 
Jibu linaweza kuwa rahisi kwamba alipotoka chooni hajarudi sebleni akaamua kutokomea pasipo julikana
 
Commit suicide
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ