Habari wa jamii naomba kufahamu madhara ya kuweka mafuta kidogo kidogo kama ya 5000 au 10000 na kutembelea mpk yanaisha alafu naweka tena ya 5000 kwa gari kama Noah voxy nini madhara ya baadae ...Asanteni nasubir majibu kwa wajuz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.