Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Watu wengi walio kwenda shule wanaugonjwa mmoja , wakuto fanya makosa, namaananisha wanaogopa sana kukosea. Wanajitahidi sana kuwa smart hasa wale wenye akili.. wakati wale wa class D darasani ndio matajiri, wenye bishara kubwa na wanasiasa wakubwa na ndio wanaotumikiwa na hawa wakali darasani.. Elimu siku zote inatufundisha kwamba faulu sana upate kazi nzuri.. Lakini haitufundishi kuwa matajiri..