Madhara ya madawa ya kemikali katika kilimo cha bustani za mbogamboga.

FALSAFA

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
293
Reaction score
58
Wanajamii FF. nahitaji kuelimishwa juu ya madhara ya madawa ya kemikali katika kilimo cha bustani za mbogamboga kwa BINADAMU. na nahitaji kujuzwa madawa ya asili ya kulinda na wadudu wasiharibu mbogamboga katika bustani. NAWASILISHA KWENU.
 
Mada yako pana sana, ngoja wajuzi waje watatufafanulia zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…