Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Unafaa utupwe jalalani.
Hasara ya Network kuwekwa milembe
Kuna jamaa (kinyozi) aliniambia one of the side effects ni kuota nywele nyingi mkunduni.
Alikukagua nini?
Kuna jamaa (kinyozi) aliniambia one of the side effects ni kuota nywele nyingi mkunduni.
Hahahaha,kaaazi kweli kweli.
Mie huwa naona sawa na kiwembe tu,maana vyote vinanitoa mapele balaa.
Suala la madhara linaweza kuwepo,maana ukitaka kujua angalia jinsi kwenye ukiichoma moto inavyojisokota,halafu angalia wakati wa kuwekwa ile foam ya Powder muda mfupi nywele inakuwa haina jipya kama jivu vile.
Ila lazima watu waje na facts za kitabibu sio hizi zetu za kubahatisha
hakuna madhara mengine, dawa yake uingiziwe DICK hapo palipoota nywele.Hy Ni Kweli Hata Mimi Imenitokea.Nilikuwa Sijui Sababu Yake Ya Kuota Nywele Maeneo Hayo.Hata Hvy Nanyoa Maeneo Hayo Kwa Kutumia Hy Hy Powda Je Kuna Madhara Gani Mengine?
Matatizo ya kutoroka Mirembe kabla ya kupewa ruhusu na Dr. ndio hayo!