JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,957
wana JF,nina mtoto mmoja anapenda sana staili ya mbuzi kagoma anadai hiyo ndyo inamfikisha but mimi nahofu kuwa stahili hiyo itamharibu au kulegeza kizazi chake maana kitu kinagonga palepale na nina mpango mrefu wa kumuoa.Naomba mnijuze kama kuna madhara yoyote na kama ni nzuri kiafya.Asanteni
sijaelewa pale uliposema kinagonga palepale, ndo wapi hapo?