Madhara ya mfumo wa dijitali katika ajira.

mhondo

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
968
Reaction score
354
Nini madhara ya mfumo wa dijitali katika ajira itakapofika Desemba 31 2012? Katika mikoa mbalimbali kuna TV za mikoa zinazomilikiwa na Halmashauri. Je zitaweza kuingia katika mfumo wa dijitali na kuweza kuonekana kwenye ving'amuzi au ndiyo itakuwa mwisho wao umefika na hivyo kujifia wenyewe?. Je nini hatima ya watumishi wa hizo TV?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…