under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 389
- 595
Habari!natumai nyote mko poa.
mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
je hii ni kweli?
je kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA
wala hajisikii vibaya tofaut na matiti kuwash mara moja mojaHabari!
1: Ni vyema ungechukua nafasi kueleza amejuaje au anajisikiaje mpaka kuswma mimba iko kifuani?
2: Ni muhimu pia kufika kwa daktari amsikilize vyema, kumpima kama kutahitajika na kuwapa ushauri au tiba.
Aende hospital akapige ultrasoundnatumai nyote mko poa.
mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
je hii ni kweli?
je kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA
Kwa sababu hii tu haitoshelezi kuisema mimba kuwa kifuani.wala hajisikii vibaya tofaut na matiti kuwash
dimu anatumia pilipil hatumiiKwa sababu hii tu haitoshelezi kuisema mimba kuwa kifuani.
Inawezekana kuna mengine zaidi ya hayo maana mauzauza huwa ni mengi kwenye hiki kipindi.
Ingawa ni vyema kupata ushauri kwa kumpa nafasi aonane na mtaalamu wa afya amsikilize.
Ni mtumiaji mzuri wa ndimu na pilipili?
daaaahUnamama mkwe wa hovyo sana, tena ukimuendekeza ipo siku atakuja kukupangia hata namna ya kuishi na mkeo
aaah aaah haya bana πππMama mkwe anataka kuwapa dawa kamimba kenu katoke. Usimsikilize..
Kwanza ndo vizuri mimba ikikaa kifuani, mtu anajinenepa maziwa. Tumbo halitosonga sana mbele.
Kuna shoga angu mimba yake ilikaa kiunoni π€£π€£ miezi 7 yuko kama hana mimba. Katumbo kalichomoza mwishoni.
Ndo ushangae? kiukwel hat mm sielewKifua kimebeba mapafu na makorokocho mengine sasa mimba inaendaje huko?πππ
hatar sana nduguMakubwa....
Wasikuperekeshe mimba zinakua tofauti tofauti ndo maana unaona mimba zingine ziko juu kifuani zingine ziko chini hayo ni maumbile ya Mungu tu, tena mimba ya wiki tatu huwezi kuitambua kwasbb haina uzoto hata wa robo kilo. Labda ana magonjwa yake tofauti ila sio mimba.natumai nyote mko poa.
mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
je hii ni kweli?
je kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA
nakubali mkuuWasikuperekeshe mimba zinakua tofauti tofauti ndo maana unaona mimba zingine ziko juu kifuani zingine ziko chini hayo ni maumbile ya Mungu tu, tena mimba ya wiki tatu huwezi kuitambua kwasbb haina uzoto hata wa robo kilo. Labda ana magonjwa yake tofauti ila sio mimba.
nimeelewa mkuuKitaalam Ectopic pregnancy, mimba kutungwa nje ya kizazi hutokea, kwenye mirija ya uzazi au hata kwenye utumbo "omentum" . Dalili kubwa maumivu makali ya tumbo na ultra sound huthibitisha hilo.
Matibabu yake ni hospitalini kwa njia ya upasuaji na sio kuvaa irizi mkuu.
ilizi=hiriziNatumai nyote mko poa.
Mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
Je, hii ni kweli?
Je, kuna shida gan asipotumia hiyo dawa
NAWASILISHA