Aina ya maelezo, majibu, thinking, aina ya ujibuji akihojiwa na Clouds 360, bungeni ni anaongea kiujivuni, jeuri, na dharau, dont care fulani, ni kama anasema tumeamua na ndio hivo lazima iwe.
Sina uhakika kama akiba ya BoT ya yale Madola yapo salama, anaemshauri Madam Hassan hakuzoea aina ya majukumu ya kutumika kwa wananchi hasa Miradi kila mahali wamepagawa kuiba wanaiba ila wanaona aibu kutelekeza miradi.
Matembezi ya kwenye miradi ya umeme na reli ya mwendo kasi kuna mtu dhamira yake ni kufifisha ndoto, sasa ili kutafuta ushawishi akaona awapeleke site na wenzake ili awandae vijana wake waje na spinning na alternative thinking kuibua kasoro za kimatumizi kwenye hio miradi.
Aliyetabiri viongozi wa Tanzania hasa Ikulu, Mawaziri na Bunge kuna moto wa laana ya raia inawangoja hakukosea.
Suruali Bwanga ina wenyewe na uvaaji wake una misingi. Jamaa kaacha pia viatu virefu na vipana.
Wa DH na Chachacha hivi viatu hawawezi na hii miradi Samia haiwezi na hata iweza. Mwigulu anaweza ila hana kinywa kizuri cha unyenyekevu na ushawishi.
Swali: Je, kwa nini uzalendo haukuanza na Wabunge na Mawaziri.?
Kampeni ya Samia kuwa Rais 2025-2030 ni haipo na ni ndoto na hawezi kufanikisha. Never afaidi tu kukwapua sasa hivi akapumzike ifikapo 2025