Kama kuna watu wenye matatizo ni wale wanaojitumilia madawa kwa kuwa wamesikia ni ya kazi flan tu. Huu ni uzembe wa hali ya juu kabisa.
Dawa za uzazi mbona zipo tena zinafanya kazi nzuri sana? Lakini, lazima upimwe damu yako kujua aina inayokustahili weye! Loh! Kuna watu wanaotumia haya madawa bil kuandikiwa aina unayostahili na dakitari?? Acha mara moja.
Nendeni kituo cha afya, penye nyote ya kijani, mtapewa inayo wastahili.Mwisho mnakuja kuzaa viumbe vya ajab kisa madawa ya kuzuia mimba. Pili huyo mwanamke ana mtoto? Mbona mnaanza upuuzi huu mapema hivi? Kama anataka kav kav si aamue atotoe tuu? Mamake angeliizuia siku alipo patikana yeye ungekuwa unalamba mbuzi?? Sijui ila ka ni mimi ningemshauri mtotoe kitoto kimoja au viwili kwanza nfikiri mambo mengine hata ka ni kutoa hilo shamba kabisa