okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,738
Asante nzizi nkavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sukari ni mbaya mno endelea kutonunua
Japo nafahamu kwamba zote zina madhara katika mwili wa mwanadamu, Je kuna ufafanuzi wa kidaktari/kitaalamu kati ya kutumia sukari nyeupe na sukari ya brown? Ni ipi ina madhara zaidi?