Madhara ya "uchawa" sasa yameanza kudhalilisha na kuumiza

Madhara ya "uchawa" sasa yameanza kudhalilisha na kuumiza

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Kama taifa tumefanya kosa kubwa sana kuruhusu na kuulea uchawa. Kwamba mtu anayesifia na kujipendekeza kwa rais anaonekana ndiye mwema na mzalendo sana kuliko yule amabaye anapongeza kimya kimya ama anayekosoa.

Matokeo yake watu wengi wakaanza kuwa machawa na kuanza kushindana vikundi vya kukusanya umbea na kutoa sifa kwa rais. Mfano Samia Queens.

Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.

Kusingekuwa na misingi ya uchawa iliyomwagiliwa, kuchipua, na kukomaa, Makonda asingeweza kuyasema aliyoyasema leo.

Lkn amesoma alama za nyakati na kugundua kuwa uchawa ndicho huwainua watu wengi ndani ya ccm na ndani ya serikali.....acha ajimwage.

Endapo "mama yake" atayafanyia kazi matamshi ya kichawa ya Makonda basi ni dhahiri kwamba watu wengi wasio na hatia wataumia.

Uchawa ni hatari kwa ustawi na.mustakabali wa nchi yetu.
 
Uchawa ulikuwepo toka enzi ndani ya chama na serekali, sema umepata umaarufu nyakati hizi.
Wala usishangae!
 
Kama taifa tumefanya kosa kubwa sana kuruhusu na kuulea uchawa. Kwamba mtu anayesifia na kujipendekeza kwa rais anaonekana ndiye mwema na mzalendo sana kuliko yule amabaye anapongeza kimya kimya ama anayekosoa.

Matokeo yake watu wengi wakaanza kuwa machawa na kuanza kushindana vikundi vya kukusanya umbea na kutoa sifa kwa rais. Mfano Samia Queens.

Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.

Kusingekuwa na misingi ya uchawa iliyomwagiliwa, kuchipua, na kukomaa, Makonda asingeweza kuyasema aliyoyasema leo.

Lkn amesoma alama za nyakati na kugundua kuwa uchawa ndicho huwainua watu wengi ndani ya ccm na ndani ya serikali.....acha ajimwage.

Endapo "mama yake" atayafanyia kazi matamshi ya kichawa ya Makonda basi ni dhahiri kwamba watu wengi wasio na hatia wataumia.

Uchawa ni hatari kwa ustawi na.mustakabali wa nchi yetu.
Halaf eti "Mama yake"🤣
 
Kama taifa tumefanya kosa kubwa sana kuruhusu na kuulea uchawa. Kwamba mtu anayesifia na kujipendekeza kwa rais anaonekana ndiye mwema na mzalendo sana kuliko yule amabaye anapongeza kimya kimya ama anayekosoa.

Matokeo yake watu wengi wakaanza kuwa machawa na kuanza kushindana vikundi vya kukusanya umbea na kutoa sifa kwa rais. Mfano Samia Queens.

Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.

Kusingekuwa na misingi ya uchawa iliyomwagiliwa, kuchipua, na kukomaa, Makonda asingeweza kuyasema aliyoyasema leo.

Lkn amesoma alama za nyakati na kugundua kuwa uchawa ndicho huwainua watu wengi ndani ya ccm na ndani ya serikali.....acha ajimwage.

Endapo "mama yake" atayafanyia kazi matamshi ya kichawa ya Makonda basi ni dhahiri kwamba watu wengi wasio na hatia wataumia.

Uchawa ni hatari kwa ustawi na.mustakabali wa nchi yetu.
Uchawa umetokana na uwoga ulipitiliza (huu ulitengenezwa tokea miaka ya uhuru), today wame utulize woga huo, wanasiasa wamegundua jinsi ya kuutumia ili wafaidike kisiasa. Hawajali madhara yake kwenye jamii, jamii inatengeza watu wa hovyo rika zote
 
Kwanza huyo "mama yake mzazi" kitendo cha kukubali aliyoyafanya mbele ya hadhira ya wakuu wa nchi wengine, viongozi wa kidini na familia ya mzee Sokoine na amenyamaza hadi wakati huu saa 3.30 usiku ni udhibitisho kuwa nchi iko katika mikono ya isiyo sahihi na dhaifu kufanya maamuzi.
Alichofanya Makonda hadharani pale ni AIBU YA KITAIFA kabisa.
Ilipaswa sasa hivi tunasoma tamko toka kwa Zuhura Yunus la utenguzi.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Anamtia mama yake uwoga kama yule musiba aliyefanikiwa kumtia Magufuli uwowoga hadi kutembea na matarumq ya uzio akizungukwa na makomandoo wenye mibunduki kama tupo chadi huko .
Mwishowe akafia kwenye bustani ya mzena tena kwa covd tu achilia mbali mitutu yake
Vita ya uchumi ikayeyuka kama theruji nyikani
 
Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.
Zamani tulisema ubeberu ni Ubepari uliokomaa......sasa hivi Uchawa umekomaa hadi umekuwa Ukunguni.
 
Kama taifa tumefanya kosa kubwa sana kuruhusu na kuulea uchawa. Kwamba mtu anayesifia na kujipendekeza kwa rais anaonekana ndiye mwema na mzalendo sana kuliko yule amabaye anapongeza kimya kimya ama anayekosoa.

Matokeo yake watu wengi wakaanza kuwa machawa na kuanza kushindana vikundi vya kukusanya umbea na kutoa sifa kwa rais. Mfano Samia Queens.

Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.

Kusingekuwa na misingi ya uchawa iliyomwagiliwa, kuchipua, na kukomaa, Makonda asingeweza kuyasema aliyoyasema leo.

Lkn amesoma alama za nyakati na kugundua kuwa uchawa ndicho huwainua watu wengi ndani ya ccm na ndani ya serikali.....acha ajimwage.

Endapo "mama yake" atayafanyia kazi matamshi ya kichawa ya Makonda basi ni dhahiri kwamba watu wengi wasio na hatia wataumia.

Uchawa ni hatari kwa ustawi na.mustakabali wa nchi yetu.
Ndugu unazid kuongeza thread kwa issues hii ya Makonda kuwataja wahuni. Tulia, Sindano iwaingie wahuni. Au na ww hupo kwenye watukanaji? Au ww ndio huwa unatuma pesa kwa Yule malaya kule USA?
 
Ndugu unazid kuongeza thread kwa issues hii ya Makonda kuwataja wahuni. Tulia, Sindano iwaingie wahuni. Au na ww hupo kwenye watukanaji? Au ww ndio huwa unatuma pesa kwa Yule malaya kule USA?
Uzuri ni kwamba wanaotukanana ni Wanaccm wao kwa wao.

Sisi wananchi tuendelee kupambania Ugali wetu hayatuhusu.
 
Kama taifa tumefanya kosa kubwa sana kuruhusu na kuulea uchawa. Kwamba mtu anayesifia na kujipendekeza kwa rais anaonekana ndiye mwema na mzalendo sana kuliko yule amabaye anapongeza kimya kimya ama anayekosoa.

Matokeo yake watu wengi wakaanza kuwa machawa na kuanza kushindana vikundi vya kukusanya umbea na kutoa sifa kwa rais. Mfano Samia Queens.

Tishio la Makonda kwa mawaziri wanaodaiwa kuwatumia watu wamtukane "mama yake" mpendwa (kama alivyomuita) ni zao la uchawa uliokomaa. Makonda amedhamiria kuwaharibia wenzake na kujikweza mabegani mwa mama yake ili mradi tu aonekane ni mwema na mtu mzalendo zaidi kuliko wengine.

Kusingekuwa na misingi ya uchawa iliyomwagiliwa, kuchipua, na kukomaa, Makonda asingeweza kuyasema aliyoyasema leo.

Lkn amesoma alama za nyakati na kugundua kuwa uchawa ndicho huwainua watu wengi ndani ya ccm na ndani ya serikali.....acha ajimwage.

Endapo "mama yake" atayafanyia kazi matamshi ya kichawa ya Makonda basi ni dhahiri kwamba watu wengi wasio na hatia wataumia.

Uchawa ni hatari kwa ustawi na.mustakabali wa nchi yetu.
Hatari mno. Neno machawa lingefutwa kwani linagawa taifa kwa umbea
 
Back
Top Bottom