Madhara ya uchawa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati promotion ni nishati safi
Your browser is not able to display this video.
πŸ₯ΊπŸ€”πŸ™‡πŸΏβ€β™‚πŸ˜­
 
Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati View attachment 3258621View attachment 3258621promotion ni nishati safi😭
Kila siku nawambia watu kuwa kugawa mitungi haiwezi kuwa soln ya watu kutotumia mkaa na kuni kwa sababu hata wao ina maana wameona gas ni ghali wamerudi kwenye kuni. Ukimpa mtu mtungi gas ikiisha anauza mtungi au anaweka stoo anarudi kwenye kuni zake. Solution ni gas ishuke
 
Hii ni sawa hatutasusia uchaguzi lakini kura hatupigi.....
 
Nimependa background song

"Sicheki na wowote"...
 
Setensi yako haijakamilka mkuu.

ccm hakuna wenye akili kule.Yaani unapinga matumizi ya kuni hapohapo wewe unatumia kuni akili gani hii?
Sio ccm tu, tuwe wakweli wakuu, hili taifa tuna akili ndogo. Wala sio chama, wala sio itikadi.

Binafsi naamini huenda atakuja mmoja mwenye akili kubwa, ila hatutamkubali kwa sababu tuna akili ndogo.
 
Ziara ya mkuu wa nchi, ubwabwa unapigiwa chapuo kuhamasisha mahudhurio 😩😩
 
Ndugu makala!
1. Kwani hamteki wapinzani?
2. Hamuuwi wapinzani?
3. Hamuibi kura?
4. Hakuna kesi za kusingiziwa?
5. Hamuengui wapinzani isivyohaki?
6. WALIMU hawatumiki kuiba kura?
7. Watendaji je hawatumiki?
8. Polisi na Tiss je?

Ccm mnatukosea sana watanzania.
Mjibuni lissu kwa hoja .
Uchaguzi wa 2024 umethibitisha pasi shaka kile mtafanya 2025.
Lissu Yuko sahihi 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…