Kila siku nawambia watu kuwa kugawa mitungi haiwezi kuwa soln ya watu kutotumia mkaa na kuni kwa sababu hata wao ina maana wameona gas ni ghali wamerudi kwenye kuni. Ukimpa mtu mtungi gas ikiisha anauza mtungi au anaweka stoo anarudi kwenye kuni zake. Solution ni gas ishukeSide effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati View attachment 3258621View attachment 3258621promotion ni nishati safiπ
Akili gani hizi! Matope kabisa!Setensi yako haijakamilka mkuu.
ccm hakuna wenye akili kule.Yaani unapinga matumizi ya kuni hapohapo wewe unatumia kuni akili gani hii?
Duuh maneno na Matendo,kama mbingu na Ardhi!Havikamatani.Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati View attachment 3258621View attachment 3258621promotion ni nishati safiπ
Nimefika tayariLucas Mwashambwa kam this way ulijibie. π€£π€£π€£
Sio ccm tu, tuwe wakweli wakuu, hili taifa tuna akili ndogo. Wala sio chama, wala sio itikadi.Setensi yako haijakamilka mkuu.
ccm hakuna wenye akili kule.Yaani unapinga matumizi ya kuni hapohapo wewe unatumia kuni akili gani hii?