Madhara ya uchawa

Madhara ya uchawa

Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati promotion ni nishati safi View attachment 3258621🥺🤔🙇🏿‍♂😭
Hapo bwana Mshana Jr ndio wahenga wanaelewa kuwa lengo sio kupromote nishatu bali kampeni zimeanza kwa kutumia hela za serikali. Mambo ya kupika vyakula huwa yapo sana wakati wa kampeni lakini sio ziara za kiserikali.
 
Kwahiyo wahudhuriaji waliishia kupozwa na pilau.

Waliosombwa na magari kutoka kila wilaya ndio wakaishia kulishwa" pilau ya mama"

Nchi ina safari ndefu kama watu wanauza utu wao kwa pilau.
🥱🥱🥱
 
Mkuu umenena kitu muhimu laiti hawa ccm wangeliona hili basi wasingethubutu kuhangaika na upuuzi huu.
Shida ya kule hawatumii akili kufikiri.... Itawezekana vipi mtu kula yake peke yake ni ya shida hiyo hela ya kujaza mtungi wa24k hata kama ni mara 1 kwa mwezi hiyo pesa kuipata ni wachache sana.

Hoja niliyo bold hapo izingatiwe sana tena tusisubiri ccm waseme tuanze mara moja ukipanda miti 10 kwa mwak na ikapita yote hiyo ni hatua kubwa ndani ya miaka5 ina miti50 sio kidogo je1 Kama ukipanda miti 50 kila mwaka?
Yaani miti ni vyanzo vya nishati madhubuti na ya uhakika kwa gharama nafuu sana. Miti inajirejesha yenyewe mengine bila hata matunzo!
Tatizo viongozi wetu wanafikiri vitu robo robo! Waruke wawezavyo lakini wakihitaji kupika vyakula kwa ajili ya watu wengi hakuna namna watakwepa matumizi ya kuni!
Kauli mbinu yangu:
Miti yangu, nishati yangu naipanda, naitunza na naringa nayo!
 
Mjinga mwingine huyu.
IMG-20250305-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom