Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Klabu ya SIMBA ilianza kufanya Usajili wa Wachezaji wake kwa Msimu wa 2022/2023 mara tu baada ya kuachana na KOCHA wao.Wapenzi wa Soka tuliamini Mtu mwenye Upeo na Ujuzi wa kujua ni Wachezaji gani wanahitaji ni KOCHA.
Uongozi wa Klabu ya Simba kupitia Kamati yake ya Usajili ilianza Mchakato huo huku wakiwa hawajampata KOCHA MPYA. Mpaka Kocha anapatikana tayari Klabu ya Simba ilikuwa imefanya Usajili na kumkabidhi Kocha Mpya wachezaji.
Matokeo ya Usajili kufanywa na Viongozi Yameonekana tarehe 13/8/2022 Uwanja wa Mkapa kwa Kufungwa na Watani wao YANGA waliofanya Usajili wao Chini ya KOCHA wao.
Katika Mechi hiyo Mapungufu makubwa ya Wachezaji wa Simba yalionekana hali ambayo itakuwa ni ngumu sana kwa Simba kufanya vizuri ktk Mechi zake za ndani na nje.
Wakati umefika kwa Klabu ya SIMBA kuwatumia Makocha wake kwenye USAJILI wa Wachezaji wake.
Uongozi wa Klabu ya Simba kupitia Kamati yake ya Usajili ilianza Mchakato huo huku wakiwa hawajampata KOCHA MPYA. Mpaka Kocha anapatikana tayari Klabu ya Simba ilikuwa imefanya Usajili na kumkabidhi Kocha Mpya wachezaji.
Matokeo ya Usajili kufanywa na Viongozi Yameonekana tarehe 13/8/2022 Uwanja wa Mkapa kwa Kufungwa na Watani wao YANGA waliofanya Usajili wao Chini ya KOCHA wao.
Katika Mechi hiyo Mapungufu makubwa ya Wachezaji wa Simba yalionekana hali ambayo itakuwa ni ngumu sana kwa Simba kufanya vizuri ktk Mechi zake za ndani na nje.
Wakati umefika kwa Klabu ya SIMBA kuwatumia Makocha wake kwenye USAJILI wa Wachezaji wake.