Madhara yatokanayo na unywaji wa Red bull

Madhara yatokanayo na unywaji wa Red bull

jamani kama haya mambo ni kweli tdfa na tbs kazi yake ni nn jamani au nikupitisha bidhaa zenye madhara kwa wananchi wake? maana tangu nimesikia redbull zinamadhara lakini bado zipo madukani
 
Glucuronolactone is a naturally occurring chemical that is an important structural component of nearly all connective tissues.Glucuronolactone is also found in many plant gums.

Glucuronolactone is a white solid odorless compound, soluble in hot and cold water. Its melting point ranges from 172°C (341.6°F) to 175 C° (347 °F). The compound can exist as non-cyclic aldehyde or as cyclic hemiacetal ("lactol") form.


Lactol form of Glucuronolactone


It has received some notoriety due to urban legends that it was a Vietnam War-era drug manufactured by the American government. The rumor goes on to say that it was banned due to several brain tumor-related deaths. The rumor has since been proven false, as neither the cited British Medical Journal article nor the "banning of its consumption" ever occurred. Furthermore, no warnings appear on the Food and Drug Administration website regarding its potential to cause brain tumors or other maladies.


Glucuronolactone is rapidly absorbed and metabolised into non-toxic metabolites such as xylulose. In addition, humans may be able to use glucuronolactone as a precursor for ascorbic acid synthesis.[3] According to "The Merck Index", it is also used as a detoxicant.[4]
Glucuronolactone is a popular ingredient in energy drinks with claims that it detoxifies the body. Although levels of glucuronolactone in energy drinks can far exceed those found in the rest of the diet, the European Food Safety Authority (EFSA) has concluded that exposure to glucuronolactone from regular consumption of energy drinks is not a safety concern (No Observed Adverse Effect Level of glucuronolactone = 1,000mg/kg/day).


Glucuronolactone - Wikipedia, the free encyclopedia


Baada ya kutafuta ukweli wa hii habari inaonekana baadhi ya sababu alizotoa mheshimiwa sio za kweli na labda ni vita ya kibiashara tu. Red Bull Haina tatizo endeleeni kunywa!

we umetumwa si bure
 
Ni kweli ina madhara, nimewahi jamaa akizirai baada ya kunywa red bull nne!! Tusipuuze taarifa hii!
 
Mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haambiwi sikia. Mkuu kivato asante sana kwa mada nzuri na yenye kuelimisha
 
'Pass me that Redbull' sorry abt that what were you saying mate?
 
na mimi ni mmoja wapo wa watu ambao walipata athari ya hii kitu redbull. wakati naitumia mapigo ya moyo yalianza kubadilika. mara nyingine nikiwa nimekaa mahali nimetulia ghafla moyo unaanza kwenda mbio kana kwamba nimeshtushwa na taarifa mbaya. na kwa vile nilishaanza kupata ufahamu kuhusu madhara ya redbull niliamua kuacha kabisa huu ni mwaka wa tatu sijasikia mapigo ya moyo ya kienda mbio.

Hii inawezekana ni effect ya caffaine iliyo kwenye Red Bull na sio Glucuronolactone....halafu je unatumia dawa nyengine zozote? Ina weza pia kuwa interaction na dawa...
 
sasa tujitahidi kula na kunywa vyakula natural maana viwandani nako hakuaminiki,yaani mpaka madhara yatokee ndio tunapiga marufuku. turudi kwenye asili yetu binadamu .
 
anyway nashukuru kwa mleta post, inawezekana ukweli kuhusu hii ishu upo ingawa inawezekana sio 100% sasa kwa sisi ambao tunatumia Red Bull (red 20 au zaidi kwa wiki nakunywa) je kuna altenative yoyote maana uzima kwanza..... tusaidiane wadau
 
Namshukuru mleta mada kwa kutufungua macho juu ya madhara ya hii kitu. Ni hatari!
 
Shosti wangu alitumia red bull kwa kipindi kirefu ikamsababishia tatizo la ini na figo na ilimfanya kumvimbisha mwili mzima
 
kaka Asante kwa taarifa lakini, nina imani waliojua ukweli kuhusu RED BULL mpaka sasa ni wana JF na ndugu zao wachache, huku jamii ya watanzania tukiwo wengi.

Mimi nitoe mwito kwa wana JF walio na mawasiliano na watu wa TBS wawape taarifa ili wathibitishe kisha watangazie umma wa wa-watanzania kuwa kitu hiyo haifai. Itasaidia kuokoa Watanzania wengi.

Mi kwa kweli namshukuru mungu, sikumbuki kama nilishawahi kuonja kitu hiyo.

Hafu- NDUGU uliyekuwa unatumia kisha ukacha baada ya kufanya tafiti, mbona hukuhabarisha wanajamii kuhusu hiyo kitu na kutoa taarifa kwa wahisika?
 
Nasikitika nimekunywa kwa miaka mingi nikiona inanisaidia kuweza kufanya kazi kwa muda mrefu (masaa14 kwa siku). WanaJF nichangieni nauli niende kwa babu loliondo
 
Tatizo la waTanzania hasa vijana ni kushabikia kila kitu kipya kinachoingia sokoni! Si Red bull pekee yenye madhara tena makubwa kwa afya zetu! Kuna vitu kama soda(hasa zenye majina ya matunda), juis za viwandani n.k! Sukari na kemikols zilizomo mle ni Hatari kwa afya zetu!

Cha ajabu kuna baadhi ya familia zetu kila baada ya mlo watoto hushushia soda au industrial juice! Wanaacha matunda yaozee sokoni! Jaman tubadilike,turudia vitu natural na artificial tuviache kando!

Baadhi ya madhara ya soda na juic ni: kuharibu mfumo wa uzazi, kupunza nguvu za kiume, chanzo kikubwa cha kisukari,baadhi ya magonjwa ya kansa hasa za kibofu na magonjwa ya figo na ini! Hayo ni baadhi tuuu!!
 
Back
Top Bottom