Madhila gani ulikumbana nayo kwa kumkopesha mwanamke?

Kwani kwenye vikoba mbona huwa wanalipa
 
Kuna manzi nilimkopesha mwezi wa kumi mwaka jana akaniambia atanilipa mwezi wa kumi na moja ila mpaka sasa kimya na mi sijamkumbusha madem bhana[emoji23][emoji23]
 
Kuna manzi nilimkopesha mwezi wa kumi mwaka jana akaniambia atanilipa mwezi wa kumi na moja ila mpaka sasa kimya na mi sijamkumbusha madem bhana[emoji23][emoji23]
Kumbusha acha aibu za kipuuzi mkuu. Ni hela yako, otherwise unamtaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…