Madini aina gani haya wataalaam nisaidieni

Hio mijiwe ipo kibao maeneo ya morogoro, haina ishu lasivyo isingekuwepo pale mpaka sasa!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Hakuna madini hapo
 
Duuu dadeeeki yaani nimejikuta nachekapeke yangu yaani huyo mkuu ushimen kaenda mbalibsana tena kavuka mataa cjui kawaza nn!!mkuu hayo ni masnook yaani ni kama tanzanite ila ile ilokosa rangi amabaya ilizidiwa na kemikali za miamba hazina soko kiviiile hadi ziwe nyingi!!
 
Mzee, kuna quatz zinafanana sana na tanzanite rangi ya zambarau na blu, ukilitewa ukakurupuka unaziwa mbuzi kwenye gunia...
 
Hays mawe ndo yanatumika kutengenezea Crystals (oscillators) za SAA nyingi kwa sasa na clock circuits za simu.computers etc. Angalia SAA iwe ya mkononi ama ya ukutani,....ukiona neno QUARTZ'S jua ndani yake kipo kipisi cha jiwe la kwatz linanosababisha saa iesabu sekunde.
Soko lake ni kwa tani.na soko lake kubwa ni China kwenye viwanda vingi vya electronics.ukiingia alibaba utapata buyers wengi tu
 
Alibaba ndio wapi
 
Chimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…