Madini gani haya?

Siri yangu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2023
Posts
1,426
Reaction score
2,845

Wakuu pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa, nimerudi tena hapa jukwani Kwa utafuti niliofanya Leo ni kwamba haya ni madini ya Garnet nyekundu na nimedhibitisha hilo Kwa kulinganisha mara kadhaa sehemu tofaut, nimekuja kwenu Kwa ombi moja tu kwa mtu yeyote anaelijua soko aniambie au Kama yeye ni mnunuzi aseme ni bei gani Mimi nitamkusanyia mzigo atakuja aukague au nimtumie sample popote alipo kisha akijiridhisha aniambie anataka mzigo kiasi gani nitachimba mwenyewe Kwa gharama zangu.

Baada ya hapo mnunuzi utakuja utakagua mzigo unaknikabidhi changu unasepa na mzigo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…