TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niuzie kila moja elfu 5Nimeyapata shambani Kwa rafiki yangu Kuna yalikuwa juu tukachimba kidogo usawa wa futi moja ndio tukakuta mwamba vimekaa kwenye mwamba hivi
Classmate acha uhuni umezeeka ujueDhahabu hiyo mkuu, omba ulinzi wa police
Nikuuzie au umeuliza ukaambiwa kilo elfu 5Niuzie kila moja elfu 5
Kwa kiswahili?Garnet
Mkuu naweza pata mawasiliano yako
Kamaa nimezeeka.... mbona waifu bado ananiita bebi...🙄Classmate acha uhuni umezeeka ujue
Wewe jinga sana 😂 🤣 🤣 lizee la hovyoKamaa nimezeeka.... mbona waifu bado ammaniita bebi...🙄
Bila shaka mkuuMkuu naweza pata mawasiliano yako
Dogo unakuwaga na pigo fulani za miaka ya 1999 nyuma 🤣🤣🤣Naona unajipakulia minyama mkuu
Ndio, hayo ni madini ya Vito yajulikanayo kama red garnet.Garnet
Basi nitumie huku, edgar.mkojera@gmail.com.Bila shaka mkuu
Sijui aseeKwa kiswahili?
NiuzieNikuuzie au umeuliza ukaambiwa kilo elfu 5
15000 sawa nitakuuziaNiuzie
Sawa mkuu naenda mbio 😅😅😅😅Uranium hiyo,Irani 🇮🇷 Wanaitaka hiyo nenda ubalozi wa wao mkuu ukatajilike 😂😂
Mimi nahisi ni makinikia 😅😅😅Makaa ya mawe🤣
Njoo pm kwanza mkuuBasi nitumie huku, edgar.mkojera@gmail.com.