Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingine hapo ni yale makinikia na zink ambayo hayachomeleki yaani kuunga haiwezekaniNaomba twenda direct kwenye point.
Ningependa kufahamu aina ya madini yanayo tunika katika vifaa vya electronic hasa saket za simu, tv,remote control, computers...nk.
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2170525View attachment 2170528
"Halafu yote yanatoka Africa"Gold, nickel, copper, tin, colbat, lithium halafu yote yanatoka afrika.
Nchi nyingi tu afrika"Halafu yote yanatoka Africa"
Hii inaumiza sana
Mkuu Aluminium inalimwa[emoji38] sana nchi gani kwa hapa africa?!
Maana waturuki wanatufanya vibaya sana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kama zipo tuambizane ! Nanunua kwa hela nzuri kabisa. Madini yote hayo ndo yanayochakatwa.Mkuu nashukuru kwa hilo jibu [emoji115][emoji115].
Pia ndio nimegunduwa ni kwa nin zilizo tumika kwa nn zina nunuliwa kwa mizani.
I think wanaenda kuchakata madini hayo
Hahaha... Aluminium inalimwa"Halafu yote yanatoka Africa"
Hii inaumiza sana
Mkuu Aluminium inalimwa[emoji38] sana nchi gani kwa hapa africa?!
Maana waturuki wanatufanya vibaya sana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hivi ulanga ndio muscovite?Hapo kuna ulanga pia hiyo nyeupenyeupe
Kuna documentary moja inaitwa blood in mobile..daah jamaa kaeleza na kaonyesha harakati nyingi sana za coltan jinsi watu wanavyoumia na kufa kwenye machimbo ya madini hayo huku wahuni wakiendelea kuneemeka na kutajirika.Hahaha... Aluminium inalimwa
Aise kweli, kuna wakati nlifikaga kivu province kwenye machimbo ya coltan (columbalite tantalite)
Watu wanapiga kazi wanazalisha bidhaa ambayo ndy inatumika kwa kiwango kikubwa duniani kwenye utengenezajj wa vifaa vya electronics
Sema huko umaskini umetamalaki
Ova
Niende duka gani ili kupata hivyo fifaa ambavyo havijatemgenezwa yani nisuke mwenyewe kama hivyoiyo kijani (substrate nzima) ni silicon
izo brown ni Copper, baadhi chache sana ni Gold
izo nyeupe nyeupe kwenye pcb ni Tin
nyeupe kwenye ribbon kule ni silk(compound)
yaani usuke kama HIVI ?Niende duka gani ili kupata hivyo fifaa ambavyo havijatemgenezwa yani nisuke mwenyewe kama hivyo
Congo to be specific.Gold, nickel, copper, tin, colbat, lithium halafu yote yanatoka afrika.
Congo ndio taifa la kwanza kwa utajiri duniani.Congo to be specific.
Afrikaaaaaa