Madini ni baraka au laana

Madini ni baraka au laana

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Mungu mwema tuepushe hayo madini yaishie Biharamulo yasiende wilaya zingine maana madini ni balaa na si baraka. Mifano tunayo hai kutoka katika mikoa yenye madini wanavyodhulumiwa na kuteseka. Mungu epusha yasiwepo wilaya zingine
 
Acha woga weee... Watu wanayatamani wee unaya laani. Jaribu kuwa na mtazamo chanya kwenye maisha. Kila kitu kina mazuri na mabaya yake.

Madini ni baraka na siyo laana
 
Back
Top Bottom