Madini tuliuza, Gesi tukauza, Mbuga tukauza na sasa bandari tumeuza. CCM ni laana

Madini tuliuza, Gesi tukauza, Mbuga tukauza na sasa bandari tumeuza. CCM ni laana

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Katika kipindi cha miaka 60 ya utawala wa CCM (zamani TANU na ASP) karibu rasimali zote muhimu zenye kubeba urithi wa vizazi vya sasa na vizazi vinavyokuja vya Watanganyika zimeuzwa kilaghai kwa wageni.

Madini yaliuzwa kwa Mzungu, Mbuga zikauzwa kwa Muarabu, Gesi ikauzwa kwa Mchina na sasa bandari zote za mwambao wa Bahari ya Hindi zimeuzwa kwa Muarabu. Hii ni laana, tena ni laana kubwa iliyofanywa na CCM.
 
Sasa hivi tutaanza kuuzwa kimakabila , kimakundi makundi leo WAKWERE kesho WACHAGA mpaka tuishe
 
Bado Na nyie kuuzwa si mnasema katiba siyo muhimu wakitaka kuandamana mjitokeze muingie front nyie ndio kwanza mnafuatilia nyuzi za ushawahi kula tunda kimasihara sasa bado nyie tuu kuwekwa sokoni
 
Katika Kipindi cha miaka 60 ya utawala wa CCM (zamani TANU na ASP) karibu rasimali zote muhimu zenye kubeba urithi wa vizazi vya sasa na vizazi vinavyokuja vya watanganyika zimeuzwa kilaghai kwa wageni.

Madini yaliuzwa kwa mzungu, Mbuga zikauzwa kwa muarabu, Gesi ikauzwa kwa mchina na sasa bandari zote za mwambao wa bahari ya Hindi zimeuzwa kwa muarabu. Hii ni laana, tena ni laana kubwa iliyofanywa na CCM.

Huko tuendako, watoto wetu na wajukuu zetu watahakikisha makaburi ya viongozi wa CCM yanageuzwa kuwa vyoo vya wazi vya umma vya watu kwenda kujisaidia haja kubwa na ndogo.

Nipo pale nimetulia.
Mkuu

KWA katiba Hii hata chadema na upinzani ungeshika dola wangefanya kama CCM tu!!

Kulewa madaraka lingekua dhahiri KABISA!!

Huwezi ukampa living organism uhuru kama huo wa maamuzi top hivyo ukawa salama bila kujali anatoka chama gani!!

Katiba mpya na MFUMO mpya!!
 
Mkuu

KWA katiba Hii hata chadema na upinzani ungeshika dola wangefanya kama CCM tu!!

Kulewa madaraka lingekua dhahiri KABISA!!

Huwezi ukampa living organism uhuru kama huo wa maamuzi top hivyo ukawa salama bila kujali anatoka chama gani!!

Katiba mpya na MFUMO mpya!!
Vyovyote vile, wewe jua tu CCM ni laana. Ukiamua kuikumbatia CCM maana yake umelaaniwa.
 
Siku watanzania tukiamua LIWALO NA LIWE kama alivyojiimbia mmakonde harmonize.. huu upuuzi woote utafika mwisho. Ila kwakuwa tumeamua kuwa mashujaa wa kwenye keyboard tena wengine wamekuwa machawa wa mama wapate teuzi, hakibadiliki kitu, nchi itaoza siku baada ya siku, rais wa mwisho akikuta kila kitu kimeuza, huemda akauza tanzania yenyewe ama watanzania wenyewe.
 
346828978_797202445053266_5284943867379519167_n.jpg

Mama anaupiga mwingi ........ Kazi iendelee.......................................
 
Na bado
Si mnapumua baada ya kuonewa sana nyie?
 
Katika Kipindi cha miaka 60 ya utawala wa CCM (zamani TANU na ASP) karibu rasimali zote muhimu zenye kubeba urithi wa vizazi vya sasa na vizazi vinavyokuja vya watanganyika zimeuzwa kilaghai kwa wageni.

Madini yaliuzwa kwa mzungu, Mbuga zikauzwa kwa muarabu, Gesi ikauzwa kwa mchina na sasa bandari zote za mwambao wa bahari ya Hindi zimeuzwa kwa muarabu. Hii ni laana, tena ni laana kubwa iliyofanywa na CCM.

Huko tuendako, watoto wetu na wajukuu zetu watahakikisha makaburi ya viongozi wa CCM yanageuzwa kuwa vyoo vya wazi vya umma vya watu kwenda kujisaidia haja kubwa na ndogo.

Nipo pale nimetulia.
CCM ni
  • CHANZO CHA MATATIZO
  • CHAMA CHA MAJIZI
  • CHAMA CHA MAFISADI
  • CHAMA CHA MAZEZETA
 
Back
Top Bottom