Madini ya Lulu: Watu wengi hawajui thamani yake, haibadiliki

Madini ya Lulu: Watu wengi hawajui thamani yake, haibadiliki

Vizuri ila nina swali kwani hayo madini ya lulu yanatumika kutengeneza nini?
Pearl....Inaitwa
Baharini kuna vitu vingi vya thamani
Kuna kitu kinaitwa "ambari"nayo inasemekana inatokana ndani ya samaki
Huwa anaitema na Hupatikani nchi kavu
Kg1 huuzwa $ zaidi ya 15000 iko kama kinyesi cha ngombe au nyasi zilizoshikamana
Nayo niliigumiaa
Mtu mwingine anaweza fikiri hadithi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenyewe wanavyodai.
Screenshot_2019-04-06-20-17-29.jpg


Remember, your mind is greatest asset.
 
Mzuqa

Tangu udogoni nasikia lulu madini yenye thamani kuliko yote. Ila hayaonekani hata picha na wala yanapochimbwa na kupatikana ukilinganisha na dhahab almas Tanzanite etc.

Kuna story za vijiweni uswahilini Wadau wanapokunywa kahawa utawasikia wanasema lulu inapatikana ndani mdomoni mwa Samaki chini kabisa baharini.

Mwanajamvi yeyote anayeyafaham haya madini ya lulu atueleeze yakoje yana rangi gani yanapatikana wapi.

Hadi kanisani tulishafundishwaga mbinguni kuna milango pavement na barabara za dhahab na lulu.


Je lulu kweli inaegzisti ama ni porojo za kusadikika. Nimegoogle kichizi holaaa.

Wadau tiririkeni
Google utaziona picha zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom