Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM


Yaani wewe ndiyo kima kabisa, kununuliwa kwa wapinzani siyo lazima wapewe pesa mkononi, tatizo vichwa vyenu vipo na kamasi tu ubongo ulishatolewa kitambo! Hao wapinzani hawana tofauti na mijusi wa kijani pale lumumba. Kama hakuna tume huru uchaguzi hakuna, wagombea wote wa ccm watapita bila kupingwa yaani kwa 99.99%.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii haiwezi kuisaidia CCM as long as maisha ya watu yanazidi kuwa magumu.
 
Wanaamini kwenye kununua wanachama na viongozi sio kwenye kuinua maisha ya mwananchi..hii CCM ya Bashiru ni kitu kipya kbs.
ccm mnatia aibu sasa haina maana. kama mliogopa local gov elections hata za urais mtaziogopa sana ndiyo maana slave trade inaendelezwa na slowslow na sasa hata katibu ameingia kichwa kichwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli;

Dr Bashiru ndo katibu mkuu wa CCM aliepokea Wapinzani wengi kuliko makatibu wakuu wengine.

Na John Mnyika ndo katibu mkuu wa Chadema alieongoza kupoteza Wanachama wengi kuliko katibu yeyote yule aliyemtangulia.

Graph inaonyesha Dr Bashiru kawin hapo alipo
Na pia inaonyesha John Mnyika Alivyofeli vibaya mnoo.
 
Mazingira bora ya demokrasia si kudondosha vyama mbadala bali ni kuzijenga ili tupate mawazo tofauti.
 
Unapomnunua meya na madiwani wakati bado miezi kama saba tunafanya uchaguzi. CCM hapa mnatumia akili au matope. Watakaoamua ni wananchi yaani kwakweli mnatumia vibaya pesa za wananchi badala ya kuwapa maendeleo mnatumia pesa zao kuwahonga. Mtashangaa October hao mliowahonga hawatapigiwa kura. Kwa Opposition ni bomba kwasababu wapo watakaopata nafasi kujaza nafasi zao. Ila kwa upande wa ccm wanaenda kugombana na wenye chama, hivyo Mbeya itazidi kuongozwa Opposition. Bashiru ni katibu mkuu wa kwanza kuwa muoga haijawahi tokea ndani ya ccm
 
Wananchi wanawaamini halafu mnawasaliti

Shubamiti!
 
Watanzania kwa sasa tunaogopa tuu virusi vya corona na sio hizo siasa zao za kuhama hama kama matahira
 
Madiwani Na Wabunge Wamevunja Rekodi Kuhama Kuliko Wanachama.Uongozi Chama Taifa Utowe Tamko Kinagaubaga Kwanini Madiwani Na Wabunge Wanatimka?Si Maneno Mepesi Tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…