Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I told you!
Kuna tatizo kubwa guys.
Wale wenye macho wanaona, wanye fikra za kuona mbali wanaona, wenye masikio wanasikia.
Wenye kukubali ushauri na ukosoaji wataanza kutuelewa tunaopiga kelele kuna tatizo sehemu ndani ya upinzani.
Siamini kama watu wote hawa wana nunuliwa.
Erythrocyte nilisikia Mbeya watu wenye msimamo hawanunuliki sasa hiki sijui ndio nini?!!!
'NASHINDWA KUSHANGAAA'.
Na hauwezi kufanikiwa kambe.Mkakati wa kuisambaratisha Chadema kwa gharama yeyote ile unaendelea.
ccm mnatia aibu sasa haina maana. kama mliogopa local gov elections hata za urais mtaziogopa sana ndiyo maana slave trade inaendelezwa na slowslow na sasa hata katibu ameingia kichwa kichwa!
Kwa lipi?
Unapomnunua meya na madiwani wakati bado miezi kama saba tunafanya uchaguzi. CCM hapa mnatumia akili au matope. Watakaoamua ni wananchi yaani kwakweli mnatumia vibaya pesa za wananchi badala ya kuwapa maendeleo mnatumia pesa zao kuwahonga. Mtashangaa October hao mliowahonga hawatapigiwa kura. Kwa Opposition ni bomba kwasababu wapo watakaopata nafasi kujaza nafasi zao. Ila kwa upande wa ccm wanaenda kugombana na wenye chama, hivyo Mbeya itazidi kuongozwa Opposition. Bashiru ni katibu mkuu wa kwanza kuwa muoga haijawahi tokea ndani ya ccmKatibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.
Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
They have families to feedKwanini chama kinapitisha wagombea ambao wananunulika au waoga kupambana?
Kwanini chama kinapitisha watu ambao hawavumilii njaa?
Wewe ni mtetezi wa maovu ccmHongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi Wale wasaliti wa nchi sijui wataweka wapi sura zao
Sugu karibu ccm