Mheshimiwa rais kufuatana na tangazo lako muhimu naomba nikutaarifu kuwa madiwani wako wawili katika baraza la madiwani la halmashauri ya bukoba ni wanyarwanda. Na kwa hili naomba nifunguke kabisa kwa kukupa majina na kata zao alafu tuone kama kweli unasimamia kauli zako au la
mh: Peter kibogo- diwani wa kata ya butelankuzi
mh: Wilson isaya -diwani wa kikomelo
mh: Peter kibogo- diwani wa kata ya butelankuzi
mh: Wilson isaya -diwani wa kikomelo