Madiwani hawa wa CCM ni wanyarwanda

Madiwani hawa wa CCM ni wanyarwanda

Nawachukia watanzania wanaoshabikia ukabila.

Mkuu hapa suala sio ukabila ni wahamiaji haramu full stop...!! Km na ww ni mmoja wapo fungasha virago vyako uende kwenu, hata mm hapa nilipo ninaishi ktk nchi za watu lakini naishi kwa utaratibu maalum kisheria, huwezi kuishi nchi za watu kienyeji enyeji.
 
Sheria ni sheria hata kama wasimamizi walichelewa kutekeleza.Zoezi la kubaini wahamiaji haramu si haramu kutekelezwa
 
Mheshimiwa rais kufuatana na tangazo lako muhimu naomba nikutaarifu kuwa madiwani wako wawili katika baraza la madiwani la halmashauri ya bukoba ni wanyarwanda. Na kwa hili naomba nifunguke kabisa kwa kukupa majina na kata zao alafu tuone kama kweli unasimamia kauli zako au la

mh: Peter kibogo- diwani wa kata ya butelankuzi
mh: Wilson isaya -diwani wa kikomelo
Haya sasa naona kumekucha....
 
Mkuu hapa suala sio ukabila ni wahamiaji haramu full stop...!! Km na ww ni mmoja wapo fungasha virago vyako uende kwenu, hata mm hapa nilipo ninaishi ktk nchi za watu lakini naishi kwa utaratibu maalum kisheria, huwezi kuishi nchi za watu kienyeji enyeji.

Mpe ukweli wake huyo.
 
Naililia Tanzania ,ni DHAMBI KUZALIWA MNYARWANDA?je kila mwanchi wa TZ ana certificate za kumuonesha kuwa ni mtanzania?south africa wana kampeni inaitwa WAIT TILL MANDELA DIES ya kuwamaliza na kuwaua watu weupe na tanzania tena,,,,,,,,,
Mkuu acha longolongo,kama umezaliwa Rwanda unapaswa kuishi Rwanda na kama unataka kuishi Tanzania au sehemu nyingine Dunia ni muhimu kufuata sheria za nchi husika!
 
Kuna watu hapa jf sijui wakoje, yaani mnashabikia uhamiaji haramu hamjawahi kusafiri ktk nchi za watu nn? Hakuna nchi yoyote duniani inayoruhusu wahamiaji haramu hata moja yaani Tz inalea lea sana wahamiaji haramu, mm nchi niliyoko huwezi kuzidisha kuishi bila kibali hata siku moja tena ukibainika utajuta kuzaliwa, kufukuza wahamiaji haramu sio ubaguzi ila ni utaratibu wa kisheria dunia zima, mm nafikiri hawa wezetu wanaotetea wahamiaji haramu labda na wenyewe ni wahamiaji haramu, mm nashauri hao madiwani wachunguzwe wakibainika warudishwe kwao haraka sana.

Hoja zako nzuri sana tatizo nchi yetu tulishafanya makosa kwa serikali kutokuwa na utambuzi wa raia wake, hao wanyarwanda (watuhumiwa) tunaosema sio raia kwa kuwa tu mwonekano wao ni rahisi kuwatambua lakini nchi hii inawahamiaji haramu wengi hasa ukizingatia wengi wetu huwa hatupo proud na kule tulipotoka especially kwa wale waliozaliwa mjini na kupapenda bila kujua historia yake na ndio maana inafanya hili zoezi kuwa gumu, juhudi zifanyike kufanya verification kwa raia wa nchi hii ambao wengi wao hata birth certificate hawana huku zoezi la kufanya utambuzi wa raia wa kigeni likifanyika kwani kuna ambao wapo nchini kwa makosa ya wazazi wao ambao walishatangulia mbele za haki na ndio maana hata katiba inawatambua wale wote ambao walikuwepo at the age of 7 years wafanye utaratibu wa kujihalalisha uraia wao, hoja hapo ni wachunguzwe maana watu wa mipakani wana changamoto nyingi na niliwahi kushuhudia jamaa mmoja ni mtanzania wa kuzaliwa kuanzia mababu zake lakini kwa kuwa ana apperance ya Kitutsi kila msako unapopita inakuwa issue kwake ukichanganya na watz document muhimu hatuna ndio inakuwa balaa
 
hawa wanyarwanda hawana adabu kabisa tujikumbushe kidogo wakati wa mabutu huko zaire congo ya sasa mabutu aliwapoke kwa roho safi kabisa akawapa na ardhi leo hii tunayaona wanyarwanda wa congo wamewakgeuka wacongo sasa hivi wanawauwa wacongo kama kuku,hapa kwetu wanyarwanda wamejaa kitu ambacho kikwete amesahau hajuwai kwamba hawa watu wapo mikowa yote, kwa sasa,msako unatakiwa uwe nchi nzima siyo mikowa 3pekee,tusipo kuwa macho kunasiku tutajikuta tunapigana na wanyarwanda wakijifanya wao ni watanzania kama ambavyo tunayaona huko congo,kama kunamtanzania anajifanya kuwaonea huruma hawa wanyarwanda afungashe aondoke nao hawa niwashenzi zaidi ya nyoka mwenye sumu,wakiachiwa kuishi hapa tanzania kunasiku watashika bunduki waanze kutuuwa kama wanavyo fanya huko congo.
 
Mimi ni mkenya. Sema tz nipo kuchuma tu, na jinsi mlivyo wajinga, tutamiliki ardhi yote na ninyi mtakuwa watumwa wetu

kumbe ndio lengo lenu!?!kwa hili, inahitajika watz tuamke usingizini na tuchukue hatua madhubuti!
 
hawa wanyarwanda hawana adabu kabisa tujikumbushe kidogo wakati wa mabutu huko zaire congo ya sasa mabutu aliwapoke kwa roho safi kabisa akawapa na ardhi leo hii tunayaona wanyarwanda wa congo wamewakgeuka wacongo sasa hivi wanawauwa wacongo kama kuku,hapa kwetu wanyarwanda wamejaa kitu ambacho kikwete amesahau hajuwai kwamba hawa watu wapo mikowa yote, kwa sasa,msako unatakiwa uwe nchi nzima siyo mikowa 3pekee,tusipo kuwa macho kunasiku tutajikuta tunapigana na wanyarwanda wakijifanya wao ni watanzania kama ambavyo tunayaona huko congo,kama kunamtanzania anajifanya kuwaonea huruma hawa wanyarwanda afungashe aondoke nao hawa niwashenzi zaidi ya nyoka mwenye sumu,wakiachiwa kuishi hapa tanzania kunasiku watashika bunduki waanze kutuuwa kama wanavyo fanya huko congo.
Weye ni lijinga sana. Mambo za kongo zinatuhusu nini sisi? Hivi hujui congo mobutu aliishi kwa damu za watu? he was eventually paid on what he did to patrick lumumba. Wala usilinganishe na Tz, wanyarwanda ni wakimbizi wenye haki zote, wala usidhani wataogopa.
 
Naililia Tanzania ,ni DHAMBI KUZALIWA MNYARWANDA?je kila mwanchi wa TZ ana certificate za kumuonesha kuwa ni mtanzania?south africa wana kampeni inaitwa WAIT TILL MANDELA DIES ya kuwamaliza na kuwaua watu weupe na tanzania tena,,,,,,,,,

Wewe kwa akili yako unataka kusema nyinyi Watutsi mlivyotufanya 1993/94 mmesahau?
 
Hivi yule Meya wa Bukoba anatory amani ni raia wa tanzania? JK ana kazi kweli kweli.
Asilimia 75 ya viongozi wa kisiasa mkoa wa kagera ni kutoka ama UGANDA,RWANDA au BURUNDI.
 
Kwa wenye kumbukumbu mwaka 1994 tulishawahi kuwa na katibu mkuu wa iliyokuwa FAT akijiita Alhaj nani tena sikumbuki, baada ya kugunduliwa kumbe ni mkenya! Akapigwa PI ya 24 hrs. Wako wengi tu humu nchini.
 
Mimi ni mkenya. Sema tz nipo kuchuma tu, na jinsi mlivyo wajinga, tutamiliki ardhi yote na ninyi mtakuwa watumwa wetu

Siku zako zinahesabika, hii si nguvu ya soda! Kaa mkao wa kula!
 
Hivi yule Meya wa Bukoba anatory amani ni raia wa tanzania? JK ana kazi kweli kweli.
Asilimia 75 ya viongozi wa kisiasa mkoa wa kagera ni kutoka ama UGANDA,RWANDA au BURUNDI.
Sasa nyinyi wazawa mko wapi? Au Mnaridhika kutawaliwa na wageni?
I
 
Weye ni lijinga sana. Mambo za kongo zinatuhusu nini sisi? Hivi hujui congo mobutu aliishi kwa damu za watu? he was eventually paid on what he did to patrick lumumba. Wala usilinganishe na Tz, wanyarwanda ni wakimbizi wenye haki zote, wala usidhani wataogopa.

Nawasiwasi we ni mkimbizi, kama sio mnyarwanda!
 
Tukianza kuchunguzana,hakuna raia wa Tanzania.Hivi wewe mleta hoja unajua kuna aina ngapi za uraia?Huu ubaguzi uliletwa na CCM wakati wa uchaguzi 2010(udini,ukanda,ukabila),sasa mmeanza kubaguana wenyewe.
 
Rais wetu JK ni mpole sana! Anakwenda katika low profile! PK akizidi zaidi ya hapo yatamkuta yaliyompata Idd Amin! Asijaribu.
 
Back
Top Bottom