Madiwani Tanzania nzima hawazitaki mashine za kamari za kichina ila Serikali kuu chini ya Mwigulu inaziruhusu

Madiwani Tanzania nzima hawazitaki mashine za kamari za kichina ila Serikali kuu chini ya Mwigulu inaziruhusu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Leo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.

Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.

Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.

image_search_1700029472882.jpg
image_search_1700029533856.jpg
 
Dalili za nchi masikini mojawapo ni haya mambo ni umaskini tu hamna kingine, watu wanacheza kamari ikiwa Kwa kutumia pesa za ziada kama kujifurahisha ila kwa watu maskini kubeti ndio inakua ajira na serikali ya kimasikini inafurahia kukusanya kodi.
 
madiwani wote tanzania nzima!? nili uliwatembelea madiwani wote tz wakakwambia hawazitaki hizi machine au ndio uhuru umepitiliza unaandika tu unachojisikia? na leta ushahidi wa mwigulu nchemba kuziruhusu hizi machine za kichina tuone,...yani kila siku maRPCs wamekuwa wakizikamata hizi machine huko mitaani ndio maana huwezi kuzikuta hizi machine sehemu ya wazi maranyingi wachina wanazificha vichochoroni kuepuka kukamatwa....
 
Leo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.

Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.

Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.

View attachment 2814179View attachment 2814183
Mashine za kamari na biashara ya pombe kwenye kila duka mitaani ndio umasikini na kaburi la maendeleo ya vijana wa Tanzania.
Hili linadhihirisha ni jinsi gani tulivyo na viongozi wa hovyo wasiojali kwa kulinda maadili ya kizazi na miiko ya uongozi.
Hakuna haja ya kiongozi ikiwa kila mtu ata achwa afanye atakavyo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.

Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.

Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.

View attachment 2814179View attachment 2814183
Fanya yako na ulipe Kodi
 
Leo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.

Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.

Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.

View attachment 2814179View attachment 2814183
Aisee ni janga la taifa hii kitu, CCM kazi yao ni kutumia linear equations za kuongeza umaskini, ufukara, ujinga, upumbavu, magonjwa ili waendelee kufanya yao
 
Leo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.

Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.

Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.

View attachment 2814179View attachment 2814183
Hizo mashine zimetengenezwa kitaalamu kuwafanya wachezaji wawe addicted !
Ukianza kucheza hizo mashine huachi tena maisha yako yote !
Kila ukipata pesa ni lazima uzipeleke kwenye Bonanza !
 
Back
Top Bottom