myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sawasawa.... Siasa za dunia ya tatu....kadiBaada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa........ Huyo ni rafiki mkubwa wa Mwambe yeye bado yupo yupo kwanza!
Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Utakuta Mwambe ndie kaanzisha hii thread ili Ccm ione ana kubalikaBaada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Hao maelfu wamerudisha kwa Nani hizo bendera wakati Kiongozi wa kuwakabidhi kadi za CCM bado hajawakabidhi?Inamaana waliandamana kwenda ofisi za chadema kwanza kwenda kurudisha kadi na bendera halafu wataandamana tena kwenda ofisi za CCM kwenda kupewa kadi za CCM?Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Na kabla hawajafanya umaskini ulikuwa mkubwa si ndiyo.johnthebaptist,
Wakifanya hayo then umaskini unatoka si ndiyo?
johnthebaptist,
Wakifanya hayo then umaskini unatoka si ndiyo?
Ndio maana yake!Hao maelfu wamerudisha kwa Nani hizo bendera wakati Kiongozi wa kuwakabidhi kadi za CCM bado hajawakabidhi?Inamaana waliandamana kwenda ofisi za chadema kwanza kwenda kurudisha kadi na bendera halafu wataandamana tena kwenda ofisi za CCM kwenda kupewa kadi za CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana!
Halafu ukijua kuwa ni kuokoteza okoteza haonyeshi mahusiano kati ya jimbo LA Mtama na Ndanda.
Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Irrelevant conceptsjohnthebaptist,
Wakifanya hayo then umaskini unatoka si ndiyo?
Kwani maelfu ndio mamilioni meku?!Hawa Maelfu wametoka wapi tena? Si mlisema CHADEMA ni chama cha Wachaga? Na kwamba CCM inakubalika sana na INA wanachama milioni zaidi ya 40? Sasa haya maelfu ni yepi tena?? Ukiwa muongo usiwe msahaulifu!!
Kitochi Original
Mbwiga meku hapa tunazungumzia Chadema kanda ya kusini ambalo mwenyekiti wake ni Suleiman Methew wa Wekundu wa msimbazi na mbunge wake pekee alikuwa mh Cecil Mwambe wa CCM!Halafu ukijua kuwa ni kuokoteza okoteza haonyeshi mahusiano kati ya jimbo LA Mtama na Ndanda.
Inaonyesha hajui Ndanda iko wapi na Mtama iko wapi! Hao ndio "ma intellectual" wa Lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlisema Hata mamia hatufikiKwani maelfu ndio mamilioni meku?!
Hao maelfu walikuja na Lowassa!Mlisema Hata mamia hatufiki