Madiwani wa Iringa pambaneni na Corona na madaraja yaliyozolewa na mvua msitafute kiki za kumng'oa Meya haitawasaidia

Madiwani wa Iringa pambaneni na Corona na madaraja yaliyozolewa na mvua msitafute kiki za kumng'oa Meya haitawasaidia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwanza niwakumbushe ninyi CCM Iringa ndio mliogoma kumdhamini Dr Magufuli mwaka 2015 alipokuja kuomba udhamini ili agombee urais.

Pili, ni ninyi CCM Iringa mliogoma kumpa ushirikiano mchungaji Msigwa ilhali mnajua kabisa Iringa mjini na pale white house pana " ukaribu" sana.

Tatu, kila mtu anajua barabara zote na madaraja ya vijijini yameharibiwa vibaya na mvua na ninyi madiwani mmemsusia Kasesela na Oliver Moto wayafuatilie kana kwamba wao ndio walitoa tenda za ujenzi.

Na nne, kila mtu anajua Iringa inaongoza kwa wingi wa vilabu vya pombe za kienyeji ikifuatiwa na Moshi hivyo ni vyema ninyi madiwani mkatumia muda mwingi kuelimisha jamii juu ya janga la Corona kuliko kumzongazonga meya Kimbe.

Mwisho, ni ulevi wenu wa komoni na ulanzi uliowafanya mlale usingizi na sasa mnakumbuka shuka ya kumng'oa Meya wakati kumeshakucha. Acheni kutafuta kiki za chekechea.

Maendeleo hayana vyama!.
 
Kwanza niwakumbushe ninyi CCM Iringa ndio mliogoma kumdhamini Dr Magufuli mwaka 2015 alipokuja kuomba udhamini ili agombee urais.

Pili, ni ninyi CCM Iringa mliogoma kumpa ushirikiano mchungaji Msigwa ilhali mnajua kabisa Iringa mjini na pale white house pana " ukaribu" sana.

Tatu, kila mtu anajua barabara zote na madaraja ya vijijini yameharibiwa vibaya na mvua na ninyi madiwani mmemsusia Kasesela na Oliver Moto wayafuatilie kana kwamba wao ndio walitoa tenda za ujenzi.

Na nne, kila mtu anajua Iringa inaongoza kwa wingi wa vilabu vya pombe za kienyeji ikifuatiwa na Moshi hivyo ni vyema ninyi madiwani mkatumia muda mwingi kuelimisha jamii juu ya janga la Corona kuliko kumzongazonga meya Kimbe.

Mwisho, ni ulevi wenu wa komoni na ulanzi uliowafanya mlale usingizi na sasa mnakumbuka shuka ya kumng'oa Meya wakati kumeshakucha. Acheni kutafuta kiki za chekechea.

Maendeleo hayana vyama!.
Wikendi hii naona zimerudi au umenyimwa mgao ndugu.
 
Mwambie Jiwe, hao madiwani in takataka anayewatuma ni Jiwe
Kwanza niwakumbushe ninyi CCM Iringa ndio mliogoma kumdhamini Dr Magufuli mwaka 2015 alipokuja kuomba udhamini ili agombee urais.

Pili, ni ninyi CCM Iringa mliogoma kumpa ushirikiano mchungaji Msigwa ilhali mnajua kabisa Iringa mjini na pale white house pana " ukaribu" sana.

Tatu, kila mtu anajua barabara zote na madaraja ya vijijini yameharibiwa vibaya na mvua na ninyi madiwani mmemsusia Kasesela na Oliver Moto wayafuatilie kana kwamba wao ndio walitoa tenda za ujenzi.

Na nne, kila mtu anajua Iringa inaongoza kwa wingi wa vilabu vya pombe za kienyeji ikifuatiwa na Moshi hivyo ni vyema ninyi madiwani mkatumia muda mwingi kuelimisha jamii juu ya janga la Corona kuliko kumzongazonga meya Kimbe.

Mwisho, ni ulevi wenu wa komoni na ulanzi uliowafanya mlale usingizi na sasa mnakumbuka shuka ya kumng'oa Meya wakati kumeshakucha. Acheni kutafuta kiki za chekechea.

Maendeleo hayana vyama!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kikao kimeitishwa tena Leo, sijajua kama madiwani Wa chadema wamesusia tena Leo au lah...
 
Back
Top Bottom