Madiwani wa Moshi DC kutembelea vivutio vya utalii kwa kigezo kuhamasisha utalii wa ndani ni kuwaibia wananchi fedha zao

Madiwani wa Moshi DC kutembelea vivutio vya utalii kwa kigezo kuhamasisha utalii wa ndani ni kuwaibia wananchi fedha zao

Wakuye 724

New Member
Joined
Feb 2, 2023
Posts
3
Reaction score
0
Madiwani wa Moshi mkoani Kilimanjaro wanatarajia kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo wilayani humo Jumamosi ya Tarehe 11 Februari 2023.

Akizungumza kwenye kikao maalum cha Baraza la Madiwani cha kupitisha mapendekezo ya mwaka 2023-2024, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Moris Makoi alisema, “Tumeamua sisi kama madiwani kuvitembelea na kuvitangaza vivutio vyetu vya ndani na Kauli Mbiu ni "Utalii wa Ndani Tuanze na Sisi Wenyewe".

Makoi aliongeza kusema kabla ya kupanga ziara hiyo ya siku moja walipendeza kamati ambayo ilifuatilia na kuvibaini vivutio vya utalii kasha kuwasilisha katika vikao vya halmashauri.....
Madiwani Moshi.jpg
 
Jambo jema na nawapongeza sana kufanya kazi kwa vitendo ni muhimu zaidi. Napingana na mtoa mada kwamba kitendo Cha mmadiwani ni kuwaibia Wananchi kwa kuwa ziara hiyo itafanyika ndani ya wilaya ya moshi basi hilo jambo litakuwa ni Kama Baraza limeamua na limeazimia kwa pamoja kwenda kukagua miradi.

Hakuna fedha yoyote itakayoibiwa kwa sababu sidhani kama watalala huko huko kwamba kutakuwa na gharama za malazi ambazo zitalipwa na serikali.
 
Jambo zuri.wao ndio wasimamiaji.iweje wawe hawajui maeneo yao.acha unaa
 
Back
Top Bottom