waliokuwa madiwani kupitia chadema wilaya Arusha mjini na chadema watatinga mahakamani ni kwenye sakata la wasaliti hao kutaka kurudishiwa uanachama wao na kuendelea udiwani wao, madiwani hao ni malla, Bayo, Mpanda, Rehema...tutaendelea kuwajuza
crash dem wise brother, big-up kwa info zote tumepata uhalisia wa yaliyojiri huko, hawa mapimbi wanaofikiri kwa matundu ya masaburi we achana nao eti akatafute wakili hata nje ya nchi kwani sikuzote hakujua hiyo kesi ipo? leo ndo ajitutumue hapa na kauli zake za kinafiki, kaka ujue ukirusha jiwe gizani alafu ukasikia mgugumio ujue limempata, ndio hawa wajinga wanaopiga kelele hapa na bado vita mbele fanyeni mnaloweza sio kukaa nyuma ya computer na kujifanya kusema sana nenda uwanja wa mapambano tukuond mwanaume kweli. viva CDM.