Madoa ktk chupi "skid marks"

Madoa ktk chupi "skid marks"

Mwanamke anabidi kutwa abadili chupi mara mbili. Sasa mpaka inaweka madoa sugu inamaana anavaa chup moja siku zaid ya moja
 
na zile zinazoboka katikati...[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] ......!!!!..
 
Chanzo cha hayo madoa hujatuambia ila anyway mimi nilishawahi ona chupi imeanikwa ina kitobo mim nadhan huyo alio anika solution yake ni nzur sehem yenye doa unaikata na kiwembe asanteni
Hilo tobo linasaidia ventilation pia.
Hio inaitwa single touch double manifestation
 
Wengine inategemea na malezi na mahali tunapotoka, mi siwezi kuanika chupi watu au ndugu wa kiume waione, lazma niifunike na khanga au nisianike nje sababu sio uchafu ila naona sio sawa
mbona ile chupi ya beach uifuniki na kanga
 
Unatangaza biashara ya sabuni, au mmeanza utafiti wa chupi za kichina
 
Kama uke unatoa uchafu mwingi unaosababisha madoa Fanya MOJA ya njia hizi

Vaa cotton

Vaa pant liner muda wote pamoja na chupi


Usikae na chupi moja kwa zaidi ya Masaa nane
 
Hahaaaa rafiki yangu mmoja akajisemea kuna acid kule sio bure..hahasaa
 
Back
Top Bottom