CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
nenda hosiptali
ukurutu tu huo..
Niende au nimpeleke? Unapenda uchokozi eeh??
Nenda nae....
Hapo sawa make humu hamkawii kusema ni mimi mwenyewe!!
Kawaida tu, hata kama ni wewe nenda tu ukwamwone Dakta, tatizo lako litakwisha..
Kuna mtoto wa wifi yangu kapotea ameacha mtoto mdogo nyumbani, Ni PM please! anatoka mkoa gani?Habari za jioni wanaJF Doctor??
Nimeletea msichana wa kazi ila ana madoa mwili mzima, nimejaribu kumdadisi kama aliwahi kuugua ugonjwa wowote wa ngozi kama tetekuwanga ila.amekataa.
Anadai kuwa huwa anahisi kuwashwa na akijikuna hutojea vipele, kuhusu allergy pia anadai hana.
Najiuliza nikampime labda ni mchafuko wa damu ila sijui kama atakubali, au kuna mtu ana experience ya tatizo hili??
Asanteni
CL
Sio mie mkuu....
Mnunulie sabuni ya robert medicated soap!!!
Mficha malazi kifo humuumbua...hata kama ni wewe tatizo ni nini!? Si ni kupata tiba tu na ushauri wakukufaa
Kuna mtoto wa wifi yangu kapotea ameacha mtoto mdogo nyumbani, Ni PM please! anatoka mkoa gani?
una mtoto mchanga/mdogo? please naomba ukamfanyie check up huyo mdada including damu kubwa