madocs ya mitumba halahala na wake zetu!

kipindupindu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
1,053
Reaction score
170
Wakuu habari za usiku.kwa mara ya kwanza leo hii nimeamua kuongozana na mwenzi wangu na mke wangu mpendwa ili nikajionee sehemu anayonunulia vi-top,skin jeans,mapande manane na vimin skirts vya mtumba. Si mnajua vimwana wa kisasa wanajipendezesha kutoka kwenye viduka vidogo vya mitumba al-maarufu 'madocs'

Kwenye kiduka nilichoingia nimekutana na pazia linalogawa kachumba haka kadogo ktk sehemu mbili. Sehemu ya ndani kuna kioo kikubwa cha kujitazama, hapa ndipo wenzi wetu wa kike husaula na kubaki na nguo ya ndani (chupi na sidiria) ili kujaribisha nguo wanazotaka kununua.

Cha kushangaza na kushtusha utakuta mteja anabadilisha nguo kadhaa huku jamaa la kiume au kijana rijali(muuzaji) akimtazama miguu na kilichowatenganisha ni pazia ambalo upepo wa kaskazi ukivuma laweza kupepea na kuondoa usiri uliopo.

Yaani leo nimefikiria mengi kwa sababu mke wangu hakuonyesha kuwa na wasiwasi au uwoga wowote kwa kaka muuzaji ambaye ni brazaman ile mbaya. Yaani anamuamini kama mgonjwa wa kike anavyomuheshimu daktari wa kiume.

Nimejionea mengi ya kutilia shaka lakini kwa leo niishie hapa ili niwaachie wadada na wakaka wa jamvi hili tujadili jambo hili.
hivi ni kweli kinadada mnatoka salama kwenye haya madocs bila kunanihii?
 
kwa nini asitoke salama? Akigawa kapenda mwenyewe. Ila kuna sehemu waachie wenyewe waende aisee presha inaweza ikapanda na kushuka kwa wakati mmoja
 
kwa nini asitoke salama? Akigawa kapenda mwenyewe. Ila kuna sehemu waachie wenyewe waende aisee presha inaweza ikapanda na kushuka kwa wakati mmoja

kumbuka jamaa anaangalia miguu na kuona skirts zinavyodondoshwa na kupandishwa.hapandwi na mihemuko?
 
kumbuka jamaa anaangalia miguu na kuona skirts zinavyodondoshwa na kupandishwa.hapandwi na mihemuko?

sasa wewe umeona anaona miguu tuu....
kule ndani huwa kuna kioo....na hilo pazia linakuwa na viupenyo kidogo pembeni....kwa hiyo huyo bwana akiwa nje ...kupitia upenyo wa pazia anamuona mtu vizuri kuanzia anapochojoa nguo mpaka mwisho kupitia kwenye kioo....stuka jombaaa
 

preta kuna mengi nimeyaona,sikanyagi tena kwenye madocs!
 
mhhhhhhhhhh ukimchunguza kuku humli......

wengi wanalambwa aisee.....believe me....anaijaribisha nguo,anatazama ilivyompendeza
halafu muuza mitumba anakataa kushusha bei...so mwisho wanaelewana tu...

but hivi kuna sababu gani ya kuvaa mitumba siku hizi ambapo kuna nguo za kichina za bei nafuu???mpya?????
 
Kuna mambo mengi ya muhimu ya kutilia shaka wakuu... Haya madogo madogo tuyapotezee
 

kuna madocs ya kinondoni nasikia yana magodoro kabisa. Dah!
 
Kuna mambo mengi ya muhimu ya kutilia shaka wakuu... Haya madogo madogo tuyapotezee

hayo sio madogo wewe. Kama una kamchumba hakajatulia tulia halafu wewe uwezo wa kumpigisha pamba huna ila kila siku yupo kwenye madoc inabidi ustuke.
 
kuna madocs ya kinondoni nasikia yana magodoro kabisa. Dah!

yah...si unajua ukijaribisha skin jeans inahitajika msaada...au wewe Husninyo skin jeans zako huwa unanunulia wapi....
 
nyie watu nyie kwanini mnapenda sana kununua presha
 
akili za baadhi ya wanawake nii pasua kichwa..

wauza mitumba
wauza nyma buchani
na madereva taxi....ukiwachunguza utatukana wanawake aisee....
 
yah...si unajua ukijaribisha skin jeans inahitajika msaada...au wewe Husninyo skin jeans zako huwa unanunulia wapi....

nanunua huko huko kwenye madocs. Kitu kavaa rihanna! Lol
 
usiwe unaenda kila mahali na mamsapu....utapata wazimu....

leo nimejifunza ila baby kalazimisha sana nikaona sio mbaya tukaenda halafu achague ili mzee nizame deep deeper in my wallet!
 
dah hii kali hata kama lazima uwe na wendawazimu kugawa hivo unagawaje
akili za baadhi ya wanawake nii pasua kichwa..

wauza mitumba
wauza nyma buchani
na madereva taxi....ukiwachunguza utatukana wanawake aisee....
 
Kuna mambo mengi ya muhimu ya kutilia shaka wakuu... Haya madogo madogo tuyapotezee

kaka hili sio dogo mimi nilidhani ni dr tu naweza mwamini kwa mke wangu lakini duh wapo madokta wengi mjini!
 
nanunua huko huko kwenye madocs. Kitu kavaa rihanna! Lol

sasa je...Boss anasema tuvae za kichina.....angejua ukimuona mwenzio kavaa top kama yako unatamani kuivua asingetushauri....
sitaki kabisa kumuona mtu kavaa nguo inayofanana na yangu halafu tupo sehemu moja....
 
sasa je...Boss anasema tuvae za kichina.....angejua ukimuona mwenzio kavaa top kama yako unatamani kuivua asingetushauri....
sitaki kabisa kumuona mtu kavaa nguo inayofanana na yangu halafu tupo sehemu moja....

za kichina waachieni mahousegirl!
 
Je botike masaloon ya wakongo man na wanawawekea kusha urembo wakati mguu wa mmusapu wako kauweka kwenye paja la mkongoman!! we acha ukiangalia hayo utakuja kuzimika kama mshumaa wakongo man ni noma kwa wadada kinachotakiwa ni dada mwenyewe kujitambua kuwa yupo kwenye mahusiano!!na ni mali yamhusika lasivyo usiguse!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…