Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Niliingia mp trh 31/10 nikamaliza trh 3/11 ...ilipofika trh 10/11 gafla tu nikashangaa nikaona dam lkn chache nadhan pad nusu , kesho take ped ikakomea jujuu tu basis haikutoka tena lkn nakua na uchafu unaovutika wenye rangi ya dam
Sielew tatizo linaweza kua nini?.... Jana nimesex baada ya hapo nikawaa
Natoka uchafu u aovutika wenye mchanganyiko na dam
Naomben ushaur ninaweza kua na tatizo gani?
Sielew tatizo linaweza kua nini?.... Jana nimesex baada ya hapo nikawaa
Natoka uchafu u aovutika wenye mchanganyiko na dam
Naomben ushaur ninaweza kua na tatizo gani?