Madokta na Maprofesa wanapotenda Kama kidato Cha nne kwanini tushangae kidato Cha nne kuajiriwa kama Askari?

Madokta na Maprofesa wanapotenda Kama kidato Cha nne kwanini tushangae kidato Cha nne kuajiriwa kama Askari?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Watanzania mnapowapigia kelele vijana wa jeshi la Polisi kwa kisingizio kwamba hawana akili na maarifa kwa kuwa waliajiriwa na D mbili mnapotoka. Nasema mnapotoka kwa sababu unapohukumu waliofeli lazima mtuambie waliofaulu wamefanya Nini?

Tunao Maprofesa na Madokta hapa nchini ambao baadhi walifaulu katika ngazi ya 1st class lakini dhamana waliyokabidhiwa wanatenda kama darasa la Saba. Nchi hii inayumbishwa na wasomi.

Siungi mkono waliofeli kujiunga Polisi lakini pia siungi mkono mtizamo kwamba waliofaulu darasani ndio wanaoweza kutenda na kusimamia haki.

Wapo wasomi wasiofaa na Wapo wasiosoma Sana wasiofaa, Wapo wasomi wanaofaa na wasio soma Sana wanaofaa.

Tujikite kutengeneza mfumo utakaotupa watu sahihi kwenye ajira za serikali. Wawe wasomi na wasiosoma ila waweze kutenda haki.
 
Watanzania mnapowapigia kelele vijana wa jeshi la Polisi kwa kisingizio kwamba hawana akili na maarifa kwa kuwa waliajiriwa na D mbili mnapotoka. Nasema mnapotoka kwa sababu unapohukumu waliofeli lazima mtuambie waliofaulu wamefanya Nini?

Tunao Maprofesa na Madokta hapa nchini ambao baadhi walifaulu katika ngazi ya 1st class lakini dhamana waliyokabidhiwa wanatenda kama darasa la Saba. Nchi hii inayumbishwa na wasomi.

Siungi mkono waliofeli kujiunga Polisi lakini pia siungi mkono mtizamo kwamba waliofaulu darasani ndio wanaoweza kutenda na kusimamia haki.

Wapo wasomi wasiofaa na Wapo wasiosoma Sana wasiofaa, Wapo wasomi wanaofaa na wasio soma Sana wanaofaa.

Tujikite kutengeneza mfumo utakaotupa watu sahihi kwenye ajira za serikali. Wawe wasomi na wasiosoma ila waweze kutenda haki.
Naunga mkono hoja!!

Nawapenda sana wabunge wale wanaojiita la saba, haswa Mh Kishimba, yule mbunge ana akili mingi sana.


Wasomi wangekuwa kama yeye tungekuwa mbali mno, kuna mambo mengi sana ambayo wasomi wanayatenda kinyume na matarajio / taaluma zao hali hii inapelekea hadi elimu zao kuonekana si kitu!!

Tubadirike!!
 
Watanzania mnapowapigia kelele vijana wa jeshi la Polisi kwa kisingizio kwamba hawana akili na maarifa kwa kuwa waliajiriwa na D mbili mnapotoka. Nasema mnapotoka kwa sababu unapohukumu waliofeli lazima mtuambie waliofaulu wamefanya Nini?

Tunao Maprofesa na Madokta hapa nchini ambao baadhi walifaulu katika ngazi ya 1st class lakini dhamana waliyokabidhiwa wanatenda kama darasa la Saba. Nchi hii inayumbishwa na wasomi.

Siungi mkono waliofeli kujiunga Polisi lakini pia siungi mkono mtizamo kwamba waliofaulu darasani ndio wanaoweza kutenda na kusimamia haki.

Wapo wasomi wasiofaa na Wapo wasiosoma Sana wasiofaa, Wapo wasomi wanaofaa na wasio soma Sana wanaofaa.

Tujikite kutengeneza mfumo utakaotupa watu sahihi kwenye ajira za serikali. Wawe wasomi na wasiosoma ila waweze kutenda haki.
Hilo nalo neno
 
Watanzania mnapowapigia kelele vijana wa jeshi la Polisi kwa kisingizio kwamba hawana akili na maarifa kwa kuwa waliajiriwa na D mbili mnapotoka. Nasema mnapotoka kwa sababu unapohukumu waliofeli lazima mtuambie waliofaulu wamefanya Nini?

Tunao Maprofesa na Madokta hapa nchini ambao baadhi walifaulu katika ngazi ya 1st class lakini dhamana waliyokabidhiwa wanatenda kama darasa la Saba. Nchi hii inayumbishwa na wasomi.

Siungi mkono waliofeli kujiunga Polisi lakini pia siungi mkono mtizamo kwamba waliofaulu darasani ndio wanaoweza kutenda na kusimamia haki.

Wapo wasomi wasiofaa na Wapo wasiosoma Sana wasiofaa, Wapo wasomi wanaofaa na wasio soma Sana wanaofaa.

Tujikite kutengeneza mfumo utakaotupa watu sahihi kwenye ajira za serikali. Wawe wasomi na wasiosoma ila waweze kutenda haki.
Kwahiyo unashauri nini kifanyike?!!
 
Back
Top Bottom